DAR: Kiwanda cha Superdoll chateketea kwa moto...

DAR: Kiwanda cha Superdoll chateketea kwa moto...

Kiwanda kimoja tumepoteza, watalipwa na Bima na kusepa zao...... Bongo kuwekeza sasa hivi inahitaji moyo sana... Ukujaribu kuangalia kwenye sector ya usafirishaji inazidi kuwa ngumu.....
 
Humjui superdoll wewe waulize wafanyakazi wake ni mnyama zaidi ya wanyama yule....yanayoendelea mtibwa sugar hata maguful hakohoi

Kwetu wanasema; Banyani mbaya lakini kiatu chake, dawa. Wewe waweza kumchukia lakini wapo watu ka weye wanalamba kiatu chake
 
Back
Top Bottom