Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,243
- 12,766
Dar kama hujaja siku nyingi, siku ya kuja lazima udakwe na kichefuchefu. Kichefuchefu ni kitendo cha mwili kujilinda dhidi ya sumu.
Mtu akila sumu au kitu cha kudhuru mwili una sense na kuleta kichefuchefu ili ukitapike. Sasa hata hewa nzito na mbaya inaenda kushtua eneo lile lile linaloshtuliwaga na sumu. Na mwili unajua njia nzuri ni kuleta kichefuchefu na kuitapika hiyo sumu.
Lakini ukiwa mwenyeji mwili unazoea na kujua kuwa kitu kile siyo sumu. Ndiyo maana wenyeji wanadunda tu. Mji wa Dar ni mchafu sana, si kwa mazingira na si kwa moshi wa kutoka kwenye magari kuukuu. Ile habari ya Michael Jackson kuziba pua alipofika Dar es Salaam inawezekana ni kweli kabisa.
Mtu akila sumu au kitu cha kudhuru mwili una sense na kuleta kichefuchefu ili ukitapike. Sasa hata hewa nzito na mbaya inaenda kushtua eneo lile lile linaloshtuliwaga na sumu. Na mwili unajua njia nzuri ni kuleta kichefuchefu na kuitapika hiyo sumu.
Lakini ukiwa mwenyeji mwili unazoea na kujua kuwa kitu kile siyo sumu. Ndiyo maana wenyeji wanadunda tu. Mji wa Dar ni mchafu sana, si kwa mazingira na si kwa moshi wa kutoka kwenye magari kuukuu. Ile habari ya Michael Jackson kuziba pua alipofika Dar es Salaam inawezekana ni kweli kabisa.