Boss unapoteza muda. Niliacha kujadiliana na nilipogundua najadiliana na watu wanaona tzs 100k per day ndio wamepatia maisha.Nimezunguka mikoa yote Tanzania na wilaya zake kuacha Zanzibar.
Naongea ninachokiona.
Nimeishi arusha, tanga mjini, same, moshi mjini, mbeya, marangu kwa zaidi ya miezi 6 kila mmoja.
Hakuna auxiliary income mikoani zaidi ya kilimo tu. Ukiajiriwa utabaki na hiko unachopata tu labda ufuge mbuzi au kuku wako wawili.
Purchasing power ipo chini kuliko maelezo. Ukisema ufanye biashara hakuna cha maana utakachofanya zaidi ya kuwa dereva bodaboda au mkulima.
Niambie biashara za maana 5 unazoweza fanya huko mikoani ukatoka haraka kuliko dar.
Bro wangu yuko mkoa sio mkuu wa mkoa but anamiliki shangingi.Ukiegemea kwenye hesabu za probability, uwezekano wa kutoboa ukiwa Dar ni mkubwa kuliko mkoani. Magari na majumba mazuri yako Dar. Mkoani mtu anayetembelea shangingi ni mkuu wa mkoa pekee, whats ur chance of getting one?
Doh !!! Kumbe !!!!!Boss unapoteza muda. Niliacha kujadiliana na nilipogundua najadiliana na watu wanaona tzs 100k per day ndio wamepatia maisha.
Wewe endelea kuishi kwenye vinyesi halafu ujipe moyo eti iko karibu na mjini so what ? Yani unachoongea wewe ni sawa na kula kinyesi kwenye restraunt , totally illogical
Mi ninachongea ndio uhalisia na nimeishi hapo for ages , so ninajua life styles za watu wa huo mji zaidi ya unavyofikiri , arrogance inawamaliza nyie watu
Unaweza kukuta mkoa mzima watu watatu au wanne pekee wanaingiza 100k per day.Boss unapoteza muda. Niliacha kujadiliana na nilipogundua najadiliana na watu wanaona tzs 100k per day ndio wamepatia maisha.
Na dunia yenye nchi zilizoendelea wakulima wachache wanalisha nchi nzima.Ushasema kilimo alafu unauliza biashara gani tena...sasa huyo anayelima kisasa ndani ya miezi sita ana uwezo wa kununua gari au kujenga nyumba na ikaisha...je biashara gan kwa wew apo dar unayoweza kuifanya ndani ya miez sita na ukanunua gari la maana na kuanzisha ujenz. Dar ni sawa na mtu mfupi anaetembea hatua fupi fupi nyingi alafu anakuja kupitwa na mtu mrefu anaetembea hatua moja ambayo ni sawa na mbili au zaid za mtu mfupi
Na dunia yenye nchi zilizoendelea wakulima wachache wanalisha nchi nzima.
Nyie mnaoenda kujazana mikoani mbona hatuoni surplus ya uzalishaji hadi muuze nje? Au ndo kuishia kufungua Retail Shop?
Nje ya kilimo (tena cha jembe la mkono na kutegemea mvua) hakuna kitu watu wa mkoani wanamzidi mtu wa dar.
Narudia tena kusema na kusisitiza. Wakulima wakubwa na wanaofaidika na kilimo wanaishi dar (labda na majiji mengine kama mwanza na arusha). Nyie mliobaki mnasindikiza maisha.
Nimezunguka mikoa yote Tanzania na wilaya zake kuacha Zanzibar.
Naongea ninachokiona.
Nimeishi arusha, tanga mjini, same, moshi mjini, mbeya, marangu kwa zaidi ya miezi 6 kila mmoja.
Hakuna auxiliary income mikoani zaidi ya kilimo tu. Ukiajiriwa utabaki na hiko unachopata tu labda ufuge mbuzi au kuku wako wawili.
Purchasing power ipo chini kuliko maelezo. Ukisema ufanye biashara hakuna cha maana utakachofanya zaidi ya kuwa dereva bodaboda au mkulima.
Niambie biashara za maana 5 unazoweza fanya huko mikoani ukatoka haraka kuliko dar.
Doh !!! Kumbe !!!!!
Mi nafanya assumption kuwa mwenzetu upo juu sana kimaisha ie umeyapatia hapo bongo!
By the time naikimbia Dar na kuona napoteza muda hapo, nimeacha nyumba tatu, ambazo valuation ya mwaka Jana hakuna iliyopungua mil 70, shamba hekari mbili huko mpigi magoe , pamoja na Mitsubishi canter mbili za tani tatu ambazo mpaka usiku huu naandika hii thread zinawabebea maji matycoon wa Dar .
Hicho kipato cha laki ambacho wanibeza nacho kwangu mimi kilikuwa ndo kipato changu kwa siku miaka ya 2008-9 hadi 2010,
Just because you are late to the party... It doesn't mean that the party hasn't started yet!
Na dunia yenye nchi zilizoendelea wakulima wachache wanalisha nchi nzima.
Nyie mnaoenda kujazana mikoani mbona hatuoni surplus ya uzalishaji hadi muuze nje? Au ndo kuishia kufungua Retail Shop?
Nje ya kilimo (tena cha jembe la mkono na kutegemea mvua) hakuna kitu watu wa mkoani wanamzidi mtu wa dar.
Narudia tena kusema na kusisitiza. Wakulima wakubwa na wanaofaidika na kilimo wanaishi dar (labda na majiji mengine kama mwanza na arusha). Nyie mliobaki mnasindikiza maisha.
Ndoto yako kubwa ni ipi? Na ushaifikia huko mkoani?
Hapana mengine ni ya kwako. Nikipita tandika , kigogo na mwansnyamalaKwani huyaoni maghorofa yaliyojazana Dar? Unadhani yote yanamilikiwa na serikali?
Dar is complecated. Sii rahisi kama unavoandika hapa.Upo nyuma sana....hakuna mkulima ata mmoja anayelima kilimo biashara anayetumia jembe la mkono, hapo umebugi. Sehem zote wanazolima kibiashara kuna schemes. Ukiona wapo wanaolima kwa jembe la mkono ujue hao wanalima kwa ajili ya chakula cha nyumban tu. Siku hizi kuna hadi magreen house ya bei ndogo kuanzia milioni moja mikoan yapo kibao. Wew endelea kukalili kile kilimo alicholima babu yako zaman ukazan hadi sasa ni mwendo huo...tembea uone. Siku hizi hawasubir mvua asee na kilimo ni mashine kuanzia mwanzo hadi kuvuna coz kila mtu anakimbizana na mda mzee
Hahahhaha sawa,umeyapatiaongeza sifuri moja...kisha kwenye tatu weka nne.....Kwa masaa 12
Sijui kama tunaelewana....hayo magrofa ukiyatoa ya hawa jamaa wanaotoka kwetu basi wamiliki wachache sana waliokulia darKwani huyaoni maghorofa yaliyojazana Dar? Unadhani yote yanamilikiwa na serikali?
Kawaida kabisa kwa mkoani...Kuna jamaa mmoja mtaani nilipokuwa nakaa Dar ni mfanya biashara wa nafaka ananunua mikoani na kuleta Dar alikuwa na maisha ya kawaida tu sasa sijui alisanuka vipi akaingia mkoa akatafuta mashamba tukawa hatumuoni km miaka kadhaa hivi kuja kuibuka huko jamaa ana Fuso yake mwenyewe na mazao anatoa shambani kwake na kupeleka Dar
Hapana mengine ni ya kwako. Nikipita tandika , kigogo na mwansnyamala
Dar
Dar is complecated. Sii rahisi kama unavoandika hapa.
Dar kulala tajiri na kuamka maskini ni rahisi sana.
Hahahha kaka nielewe tu,uwoga wetu ndio umaskini wetu kakaMkuu kaama nataka kukuelewa vilee