May be nna IQ ndogo kuliko navojifikiria. Yani hapa ndio umezidi kujichanganyakama ungejua kua nakipato kikubwa na kua na hela n vitu viwili tofaut usingeuliza hl swali, na kama ungejua unachoingza hakitosh kukufanya kua hela/tajir bali n muunganiko wa unachoingza na matumiz ndo vitaamua hali yako ya maisha basi tungezungumza lugha moja,
jitahd na hapo unielewe kama ukitaka.
sawa sawa naomb tudumishe utanzania, Amani iwe nawe.May be nna IQ ndogo kuliko navojifikiria. Yani hapa ndio umezidi kujichanganya
Kwa hiyo uanaume upi mzuri, wa dar au mkoani?Nimeishi dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa...niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi....saiv nawaza itakuaje baada ya mwaka au miaka kumi nitakuwa wapi...hilo dar linaishia kwenye maneno tu,maisha ya dar yanamfanya mtu awe mtumwa,wana wengi wanaogopa kurudi mahome kwao kwa kuhisi watadharaulika,acha fikra potovu rudi ubadiri namna ya kufikiri,huku mambo yanaenda ukitia nia.
Mambo mengine bwana! Hapa mnabishana kwa kutumia kanuni zipi ama vipimo gani?Gari zuri lipo arusha wewe,,,dar hakuna magari
sasa hata kuandika kwenyewe mtihani hiyo Dar ungeiweza kweli?Hata kama unamchongo huishia kwenye kodi ya nyumba, umeme ,maji,chakura, na usafiri,maisha ya dar hayana hakiba
Wengi watakuja kukubeza mtoa mada,ila ukweli wengi walio Dar ni wachumia tumbo,kipato chao chote kinaishia kwenye usafiri,na muda wao mwingi wanaupotezea mabarabarani,hawalali vizuri,wala hakuna sehemu ya kutulia na kuwaza au kupumzika bila bugudha,wengi wanalijua hilo,lkn wakiwaza time waliyoipoteza,wanaona noma kurudisha mpira kwa kipa,bora umewasanua,mimi naamini bado hawajachelewa...hasa kwa wale wenye nia ya kubadilisha maisha yao,maana wengi wao washakata tamaa.
😀😀Well said i like ur comment MkuuHuko ni kukalili misemo eti maisha ni popote. Labda kama unataka kuishi tu hapo sawa hata juu ya mti unaweza kuishi lakini kama lengo ni kufanikiwa katika maisha unahitaji kuelewa maeneo ya kukusapoti kufanya hivyo yaani uwe selective tena sana. Maisha ya kiumbe chochote kile na existence yake ni dependable sana katika selection za vitu vingi sana ambavyo ndo vitakavyokuongoza, ukishindwa hili inamaana unazidiwa hata na konokono anayejua wapi ni salama kwake kuishi, lini na kwanini.
Mwanadamu chagua eneo sahihi la kuishi na kufanikiwa na si kuishi tu
Dar es Salaam ni mji wa pili kwa utajiri Afrika mashariki baada ya Nairobi, Tanzania na Kenya zinatajirika kwa kasi - JamiiForumsNimeishi Dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa. Niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi..
Sasa hivi nawaza itakuaje baada ya mwaka au miaka kumi nitakuwa wapi. Hilo Dar linaishia kwenye maneno tu,maisha ya Dar yanamfanya mtu awe mtumwa,wana wengi wanaogopa kurudi mahome kwao kwa kuhisi watadharaulika.
Acha fikra potovu rudi ubadili namna ya kufikiri,huku mambo yanaenda ukitia nia.
Very perfect. watu hawajui kuwa watoo wetu hawataki sifa za kwamba tunaishi Dar, wanataka sifa za uwezo wa Mzazi wao katika kuwahudumia.Nimeishi Dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa. Niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi..
Sasa hivi nawaza itakuaje baada ya mwaka au miaka kumi nitakuwa wapi. Hilo Dar linaishia kwenye maneno tu,maisha ya Dar yanamfanya mtu awe mtumwa,wana wengi wanaogopa kurudi mahome kwao kwa kuhisi watadharaulika.
Acha fikra potovu rudi ubadili namna ya kufikiri,huku mambo yanaenda ukitia nia.
Uko sahihi mkuu. Nina rafiki yangu amehamishiwa Dodoma. Kule anasema maisha hayana changamoto kabisa ameamua kuacha kazi na sasa anaendelea na mishe zake hapa Jijini.Waulize wenzio waliohamia dodoma wanavyolia Lia. Dar kufanikiwa ni rahisi kuliko kufeli.
Ninyi nyote kwa kifupi mawazo yenu ni finyu na uwezo wa kutoka ndani ya kundi la wajanja hamuwez, kwa kifupi mnarudi kwenye ule msemo wa kizamani kwamba jogoo wa shamba.....niwaulize mnawaza habari ya eti kodi ya nyumba, chakula maji, kwa hio huko mikoani kuna nyumba za bure? Kama kamji kadogo namna hii mnaona ni kupoteza muda inakuwaje ungetupwa jiji kama NY, Milan ama London ukaambiwa utafute connection mtoboe? Wasema Dar ni kupoteza muda lakini tambua nyumba nzuri kushinda zoote Tanzania iko Dar, viwanja vikal viko Dar, Tajiri namba 1 Tanzania yuko Dar, hata gari ya kifahari nchi nzima inaendeshwa Dar..nyie endeleeni kukusanya matembele huko na kujigamba mnamilik nyumba huko ambayo ukiileta dar itathaminishwa na ilioko tandale
