Dar inawapotezea watu muda

Dar inawapotezea watu muda

kama ungejua kua nakipato kikubwa na kua na hela n vitu viwili tofaut usingeuliza hl swali, na kama ungejua unachoingza hakitosh kukufanya kua hela/tajir bali n muunganiko wa unachoingza na matumiz ndo vitaamua hali yako ya maisha basi tungezungumza lugha moja,

jitahd na hapo unielewe kama ukitaka.
May be nna IQ ndogo kuliko navojifikiria. Yani hapa ndio umezidi kujichanganya
 
Nakubaliana kabisa na mleta UZI; nimeishi Dar maisha kwa muda mrefu sana but nilipotoka Dar na kuja mkoani, ninayafurahia sana maisha ya huku na of course najihisi kimaisha nimepiga hatua zaidi kuliko nilivyokua naishi Dar; watu wengi wa Dar wanaishi kwa bajeti ya siku, yaani unacho tafuta kinaliwa either the same day au week, hand to mouth, kwasasa habari "leo tunakula nini" mambo hayo nimemuachia wife tu, na deal na vitu vikubwa vikubwa; mfano, "endapo hi kazi leo ikiisha, nitaishije na familia yangu"? na well, in 5 years tim, niwe nimefanya A, B, C, D ndio ninayo deal nayo. Ukweli Dar kutoka, inataka moyo hasa, mwanzoni nilipata tabu sana kufanya hiyo decision but finally niliamua but again it took me more than 3 years kuitoa Dar kichwani mwangu, mwanzoni nilikata hadi kiwanja nilicho pewa na best man wangu kwenye harusi, alitaka nimrudishie pesa kidogo tu, nilimwambia hivi, "my friend, I am not dreaming to stay here more than 5 years". Ulikua ni utoto.
 
Maisha ni vile wewe unavyoyaona!!, kuna mwana mmoja kipindi flani tulikuwa tunapiga stori kuhusu maisha, Yeye alisema hawezi kuishi zaidi ya Morogoro na Dar es salaam otherwise atoboe nje ya nchi tu.
Maoni, leta mada kama ushauri usifikiri ufikiriavyo wewe kila mtu anamtazamo kama wako
 
Nimeishi dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa...niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi....saiv nawaza itakuaje baada ya mwaka au miaka kumi nitakuwa wapi...hilo dar linaishia kwenye maneno tu,maisha ya dar yanamfanya mtu awe mtumwa,wana wengi wanaogopa kurudi mahome kwao kwa kuhisi watadharaulika,acha fikra potovu rudi ubadiri namna ya kufikiri,huku mambo yanaenda ukitia nia.
Kwa hiyo uanaume upi mzuri, wa dar au mkoani?
 
Wengi watakuja kukubeza mtoa mada,ila ukweli wengi walio Dar ni wachumia tumbo,kipato chao chote kinaishia kwenye usafiri,na muda wao mwingi wanaupotezea mabarabarani,hawalali vizuri,wala hakuna sehemu ya kutulia na kuwaza au kupumzika bila bugudha,wengi wanalijua hilo,lkn wakiwaza time waliyoipoteza,wanaona noma kurudisha mpira kwa kipa,bora umewasanua,mimi naamini bado hawajachelewa...hasa kwa wale wenye nia ya kubadilisha maisha yao,maana wengi wao washakata tamaa.

Dar kuna wenyewe.....ukiwa mporipori utachemsha tu!!!
 
Well, kwa yote yalioongelewa, ni mtazamo wa mtu, na kila mtu ana uhuru wa kuongea, kama kila mtu kapewa uhuru wa kuongea, na kuona anonavyo yy...

Kufanikiwa inategemea na mtu, na vitu vingi ambavyo vita mfanya mtu huyo afanikiwe

Kimtazamo wangu, kama umetoka mkoan na uko dar, unaelimu yako, umeajiriwa, usitegemee mshahara, kama unahitaji kufanikiwa. Jongeze either kwa shughuli ndogo ndogo za kibiashara.

Dar kama unafanya biashara utainjoy sana. Alaf, wafanya biashara wanainjoy life kiliko wasomi.

Ukijitia unatamba na elimu yako, utadharaulika kama mbwa koko.

Kama unafanya biashara, na unapower, either kitengo, utainjoy maisha sana ya dar
 
Mtoa mada ungemalizia "Na ukiweza kuish dar na ukatoboa wewe n mwanaume"

Sehem inayohtaj nguvu ili uish inamaana utumie nguvu na ili utoboe/ufanikiwe utumie nguvu zaid, sehem inayohtaj akili ili uish inamaana uttumie akili na ili utoboe/ufanikiwe utumie akili zaid, hapa ndo utamkumbuka Darwin na theory zake huko Galapagos island.

Hapa ukibug au ukijitia mbish ku obey laws ndo yale ya kusumbuana michango ya kusafrisha maiti au kuzkwa na manispaa,

Naomb radh kama hukufrahshwa na lugha iliyotumika.
 
Huko ni kukalili misemo eti maisha ni popote. Labda kama unataka kuishi tu hapo sawa hata juu ya mti unaweza kuishi lakini kama lengo ni kufanikiwa katika maisha unahitaji kuelewa maeneo ya kukusapoti kufanya hivyo yaani uwe selective tena sana. Maisha ya kiumbe chochote kile na existence yake ni dependable sana katika selection za vitu vingi sana ambavyo ndo vitakavyokuongoza, ukishindwa hili inamaana unazidiwa hata na konokono anayejua wapi ni salama kwake kuishi, lini na kwanini.

Mwanadamu chagua eneo sahihi la kuishi na kufanikiwa na si kuishi tu
😀😀Well said i like ur comment Mkuu
 
Nimeishi Dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa. Niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi..

Sasa hivi nawaza itakuaje baada ya mwaka au miaka kumi nitakuwa wapi. Hilo Dar linaishia kwenye maneno tu,maisha ya Dar yanamfanya mtu awe mtumwa,wana wengi wanaogopa kurudi mahome kwao kwa kuhisi watadharaulika.

Acha fikra potovu rudi ubadili namna ya kufikiri,huku mambo yanaenda ukitia nia.
Dar es Salaam ni mji wa pili kwa utajiri Afrika mashariki baada ya Nairobi, Tanzania na Kenya zinatajirika kwa kasi - JamiiForums
 
Nimeishi Dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa. Niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi..

Sasa hivi nawaza itakuaje baada ya mwaka au miaka kumi nitakuwa wapi. Hilo Dar linaishia kwenye maneno tu,maisha ya Dar yanamfanya mtu awe mtumwa,wana wengi wanaogopa kurudi mahome kwao kwa kuhisi watadharaulika.

Acha fikra potovu rudi ubadili namna ya kufikiri,huku mambo yanaenda ukitia nia.
Very perfect. watu hawajui kuwa watoo wetu hawataki sifa za kwamba tunaishi Dar, wanataka sifa za uwezo wa Mzazi wao katika kuwahudumia.
 
Ninyi nyote kwa kifupi mawazo yenu ni finyu na uwezo wa kutoka ndani ya kundi la wajanja hamuwez, kwa kifupi mnarudi kwenye ule msemo wa kizamani kwamba jogoo wa shamba.....niwaulize mnawaza habari ya eti kodi ya nyumba, chakula maji, kwa hio huko mikoani kuna nyumba za bure? Kama kamji kadogo namna hii mnaona ni kupoteza muda inakuwaje ungetupwa jiji kama NY, Milan ama London ukaambiwa utafute connection mtoboe? Wasema Dar ni kupoteza muda lakini tambua nyumba nzuri kushinda zoote Tanzania iko Dar, viwanja vikal viko Dar, Tajiri namba 1 Tanzania yuko Dar, hata gari ya kifahari nchi nzima inaendeshwa Dar..nyie endeleeni kukusanya matembele huko na kujigamba mnamilik nyumba huko ambayo ukiileta dar itathaminishwa na ilioko tandale
 
Back
Top Bottom