Dar inawapotezea watu muda

Baba yangu Mkubwa Anaish Dar mwaka wa 28 huu ndo msomi zaid na mwenye kipato kikubwa zaid ndan ya familia ila ndo maskn zaid kwenye familia yao.

Sitak kuweka maelezo meng Jitahd hvyo hvyo tu unielewe
Tumekuelewa
 
nyinyi ni waoga wa maisha, maisha popote, kama umeamua kurudisha mpira kwa kipa ni mpango wako kivyako vyako, wengine tumetusua na tunaendelea kutusua hapa hapa bongo daslamu
Wanaotusua wanasemaga,umetusua una kiwanda cha nguo...au una nini cha kutuambia umetusua kwa dar,halafu pengine wakati sisi tunatoka dar nyie ndio mnaingia bado dar unaiona ya moto
 
Mkuu umesahau na mademu wakali na wasafi wapo dar
 
Ww maisha yalikushinda...
Sibishi babu,ndio maana huku niliko nimeyapatia...wewe kuingiza pengine 30,000 kwa siku inakupa ujeuri,hahhaa kuna watu wakawaida kabisa anaingiza hadi laki kila siku kama faida na inakaa tu bank,sasa 30 yako inakod,ina kuhonga,ina chakula unabakiwa na nini hapo
 
Ukiegemea kwenye hesabu za probability, uwezekano wa kutoboa ukiwa Dar ni mkubwa kuliko mkoani. Magari na majumba mazuri yako Dar. Mkoani mtu anayetembelea shangingi ni mkuu wa mkoa pekee, whats ur chance of getting one?
Halafu wewe wa zamani, kweli hao wenye hayo mashangingi dar wanapiga deal gani kama sio 90 parcent ni wa serikalini tena enz za jakaya...hujatembea muda kweli....halafu mbona kitu kidogo sana umezungumzia....nilidhani angalau mtu ana kiwanja chenye hati ekari 100/huko nyumba 20 kuendelea....
 
Siwezi kuingilia hapa, Muda ni mali kwangu, Dsm siwezi kuishi mateso na taabu nyingi,

Hivi unaishi kwenye nyumba ya kupanga una kaIST/PASSO na mtu alie mkoani mwenye chumba na sebule ya kwake na shamba na kiwanja zaidi, nani mjanja??
.DSM maisha magumu sana, Vijana wengi kazi yao ni kupamba mageto yao tuuuuu hakuna la maana zaidi
 
Siwezi kuingilia hapa, Muda ni mali kwangu, Dsm siwezi kuishi mateso na taabu nyingi,

Hivi unaishi kwenye nyumba ya kupanga una kaIST/PASSO na mtu alie mkoani mwenye chumba na sebule ya kwake na shamba na kiwanja zaidi, nani mjanja??
.DSM maisha magumu sana, Vijana wengi kazi yao ni kupamba mageto yao tuuuuu hakuna la maana zaidi
 
Baba yangu kazaliwa dsm mama yangu kazaliwa dsm mimi mwenyewe nimezaliwa dsm nimekua na kusomea dsm dsm ndio kama kijijini kwetu kwamaana mimi ni mtoto wa kizaramo kwa sasa nimetoka dsm naishi morogoro mwaka wa tatu sasa na jishughulisha na kilimo cha mabostani ya matunda na mboga mboga ni duka la kuuza na kukodisha baiskeri pia nimefanikiwa kujenga nyumbani dsm nyumba ya vyumba viwili sebule jiko choo na stoo napia kumfungulia mdogo wangu salon ya kiume.
 
Issue ni wewe umepoteza muda Dar ukiwa unashangaa shangaa, siyo Dar imekupotezea muda. Sasa ukiwa miji mikubwa kama NY, Tokyo, London au Jo-burg si ndiyo utafutwa kabisa kwenye ramani ya ulimwengu. Jipange kijana.
Kwani hayo majiji uliyoyataja yapo tanzania,tunazungumzia kwetu ndio maana ni dar na mkoani
 
Afadhali bwana hadi nimetetemeka kwa kuwaelewesha vizuri mkuu,watu bwana....
 
ongeza sifuri moja...kisha kwenye tatu weka nne.....Kwa masaa 12
 
"Nimesema lazima uzeeke huna kitu" yaani mpaka unafika uzee usipokuwa makini huna hata pakuweka ubavu sijamaanisha kuwa utazeeka kwa shida ya kutafuta dar maana pesa zipo kila sehemu tatizo dar kila kitu cha kununua na gharama kubwa

Kwaiyo unataka vitu vya bure ? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 

Ww unawachukia watu wa dar kutoka moyoni lakin wadar hawana time na ww wamkoan coz ww unajua wanakudharau lakin iyo ni hali uliyojiwekea ww kutokana na watu uliosoma nao shule za boarding na chuo
Dada dar ndio jiji la kwanza Tanzania
Iyo slums ya tandale inasamani sana kuliko iyo nyumba yenu mkoan coz land position iyokuwepo iyo nyumba ni dar karibu na mjin
Umeona zile slump za kipawa zilivyo kuwa mbovu lakin walivyofunja kwa kutanua airport watu walilipwa ela nyingi sana coz ni dar siyo mkoan sasa ww cheka nyumba ya mchikini kariakoo ilivyo kuwa mbovu ngoja auze utaona mpunga anaochukua ndio utajua kuna dar na mikoan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…