nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 655
- 528
- Thread starter
-
- #361
TumekuelewaBaba yangu Mkubwa Anaish Dar mwaka wa 28 huu ndo msomi zaid na mwenye kipato kikubwa zaid ndan ya familia ila ndo maskn zaid kwenye familia yao.
Sitak kuweka maelezo meng Jitahd hvyo hvyo tu unielewe
Na hapo bado hujahonga wala kwenda viwanjaHata kama unamchongo huishia kwenye kodi ya nyumba, umeme ,maji,chakura, na usafiri,maisha ya dar hayana hakiba
Wanaotusua wanasemaga,umetusua una kiwanda cha nguo...au una nini cha kutuambia umetusua kwa dar,halafu pengine wakati sisi tunatoka dar nyie ndio mnaingia bado dar unaiona ya motonyinyi ni waoga wa maisha, maisha popote, kama umeamua kurudisha mpira kwa kipa ni mpango wako kivyako vyako, wengine tumetusua na tunaendelea kutusua hapa hapa bongo daslamu
Mkuu umesahau na mademu wakali na wasafi wapo darNinyi nyote kwa kifupi mawazo yenu ni finyu na uwezo wa kutoka ndani ya kundi la wajanja hamuwez, kwa kifupi mnarudi kwenye ule msemo wa kizamani kwamba jogoo wa shamba.....niwaulize mnawaza habari ya eti kodi ya nyumba, chakula maji, kwa hio huko mikoani kuna nyumba za bure? Kama kamji kadogo namna hii mnaona ni kupoteza muda inakuwaje ungetupwa jiji kama NY, Milan ama London ukaambiwa utafute connection mtoboe? Wasema Dar ni kupoteza muda lakini tambua nyumba nzuri kushinda zoote Tanzania iko Dar, viwanja vikal viko Dar, Tajiri namba 1 Tanzania yuko Dar, hata gari ya kifahari nchi nzima inaendeshwa Dar..nyie endeleeni kukusanya matembele huko na kujigamba mnamilik nyumba huko ambayo ukiileta dar itathaminishwa na ilioko tandale
Kabisa mkuu,sasa unahitaji hela au vituMaoni yangu
Dar Ni vigumu kujenga nyumba kuliko mkoani
Lakini dar Ni rahisi kupata hela kuliko mikoani
Sibishi babu,ndio maana huku niliko nimeyapatia...wewe kuingiza pengine 30,000 kwa siku inakupa ujeuri,hahhaa kuna watu wakawaida kabisa anaingiza hadi laki kila siku kama faida na inakaa tu bank,sasa 30 yako inakod,ina kuhonga,ina chakula unabakiwa na nini hapoWw maisha yalikushinda...
Halafu wewe wa zamani, kweli hao wenye hayo mashangingi dar wanapiga deal gani kama sio 90 parcent ni wa serikalini tena enz za jakaya...hujatembea muda kweli....halafu mbona kitu kidogo sana umezungumzia....nilidhani angalau mtu ana kiwanja chenye hati ekari 100/huko nyumba 20 kuendelea....Ukiegemea kwenye hesabu za probability, uwezekano wa kutoboa ukiwa Dar ni mkubwa kuliko mkoani. Magari na majumba mazuri yako Dar. Mkoani mtu anayetembelea shangingi ni mkuu wa mkoa pekee, whats ur chance of getting one?
Haahha mawazo ya kizamani,unaonekana hauna hela...wenye pesa hawanaga majibu ya kizushi hivyoDar kuna wenyewe.....ukiwa mporipori utachemsha tu!!!
Kwa taarifa yako mimi niliondoka wakati wa kikwete,na saivi huko dar kuliko nisumbua ndio najenga nyumba saiv ya pili ya kupangisha wapange wa hand to mouthMagufuli alishasema mjini watabaki wanaume
Gari zuri lipo arusha wewe,,,dar hakuna magari
Kwani hayo majiji uliyoyataja yapo tanzania,tunazungumzia kwetu ndio maana ni dar na mkoaniIssue ni wewe umepoteza muda Dar ukiwa unashangaa shangaa, siyo Dar imekupotezea muda. Sasa ukiwa miji mikubwa kama NY, Tokyo, London au Jo-burg si ndiyo utafutwa kabisa kwenye ramani ya ulimwengu. Jipange kijana.
UnadanganywaKwahio huko mikoani wote matajiri? Takwimu zimeonesha Dar ndio kuna nafuu ya maisha na huko mikoani hali ni mbaya sana.
Afadhali bwana hadi nimetetemeka kwa kuwaelewesha vizuri mkuu,watu bwana....Acheni upotoshaji na kuongea kwa kukariri,hivi unazijua systems za hayo maeneo unayoyataja?
huko hakuna ujanja ujanja,wala miundombinu yake sio mibovu kama ya hicho kijiji kikubwa,kule unafika mishe kwa wakati na kazi zinafanywa kwa kupata trainings,tena unaweza hata kufanya kazi mbili sehemu mbili tofauti bila shida,na si kazi zenu za viwandani,unamenyeka nguvu zako afu unalipwa elfu nne kwa siku afu unakuja kutamba hapa kuwa nipo dar napambana,huo ndio ujinga alioukataa mleta uzi,hana chuki na mtu,anajaribu kushare mazuri na tofauti aliyoi`experience baada ya kutoka dar,mtu unapoteza masaa 4 upo barabarani unaenda kibaruani,kibarua kisicho hata na tija zaidi ya kununua tecno na kuja kupost utumbo hapa,kinachozungumzwa na mtoa mada si kwamba mikoani ndio kila mtu kafanikiwa,ila anazungumzia possibility ya mafanikio mkoani ni kubwa kwa mtu mwenye nia ya kusogea mbele kimaisha ukilinganisha na nyie msio na cha maana mnachokifanya hapo zaidi ya kujipa matumaini ya kutoboa kisa magari mazuri yapo Dar,nimesikitishwa kuona kuna watu bado mnapima maendeleo kwa kuangalia majumba na magari bila kujipima maisha yenu binafsi yana unafuu gani kwako na kwa familia yako directly,hao wenye magari mazuri na nyumba nzuri wewe unanufaika nao vipi?ni aibu kwa mwanaume kuwa na fikra mfu kiasi hicho,toa hoja za kujenga mkuu...shame!
Nipo mkoa wa njombe,ule ambao watu bado wana hela na wanapiga kazi,hata huyo mkuu wa nchi amekwambia hiloTeh teh teh Na Bado,wataondoka sana halafu watakuja kujifariji hapa.Mtoa mada karudisha mpira Kwa golikipa na hajasema yupo mkoa gani Kwa sasa
ongeza sifuri moja...kisha kwenye tatu weka nne.....Kwa masaa 12Sibishi babu,ndio maana huku niliko nimeyapatia...wewe kuingiza pengine 30,000 kwa siku inakupa ujeuri,hahhaa kuna watu wakawaida kabisa anaingiza hadi laki kila siku kama faida na inakaa tu bank,sasa 30 yako inakod,ina kuhonga,ina chakula unabakiwa na nini hapo
"Nimesema lazima uzeeke huna kitu" yaani mpaka unafika uzee usipokuwa makini huna hata pakuweka ubavu sijamaanisha kuwa utazeeka kwa shida ya kutafuta dar maana pesa zipo kila sehemu tatizo dar kila kitu cha kununua na gharama kubwa
Acha zako mkuu usitufanye mazuzu humu mimi nimekaa Dar miaka mingi , Tandale zile ni nyumba au slums we jamaa muongo sana , mitaa michafu , plan ya ovyo kabisa na kwa taarifa yako Dar es Salaam maeneo yaliyo staarabika ni machache mno mengi yapo nje ya mji asilimia 70 ya wakazi wa Dar wanaishi kwenye slums halafu nao wanatunisha mabega eti mi wa Dar , nonsense kabisa mwambie akuoneshe anapokaa sasa .......ptuuu
Nyie watu ni arrogant sana ila wengi wenu mnaishi maisha ya taabu sana