Dar: Amchoma mpenzi wake na Petroli kisa wivu wa mapenzi

Lakini nature yetu wanaume ni kumiliki wanawake, ukisoma maandiko katika Uislam mwanaume ameruhusiwa kumiliki hadi wanne... Kama uko na mmoja lakini hataki umiliki mwingine unamweka pembeni unamiliki wenziwe wanaotaka kumilikiwa zaidi ya mmoja.... Lakini kwa upande wa mwanamke na natural mwanamke ni mama wa nyumba (sijamaanisha ni mama wa nyumbani) hivyo hawezi kumilikiwa na wawili kwa wakati mmoja lazima ataboronga tu!
Natural mwananume ni mtafutaji na hivyo hutumia muda kutafuta kwa ajili ya familia yake, je mwanamke akimilikiwa na wawili umefikiria ni wapi au ni vipi ataendesha familia yake? Katika hao aliowamiliki wakihitaji mtoto kwa wakati mmoja atabeba mimba ya yupi na kuacha yupi asimbebee??
Huo ni uzinzi tu.
 
Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.

Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.

Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.

Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu

View attachment 1856008

Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010
Kweli sura siyo roho. Kana roho ya upole ila kakatili namna hii!
 
Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios

Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.

Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo

HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Bibi zetu walikuwa wakishaona wamezeeka walikuwa wanamtafutia Mzee kabinti kama mke mdogo anapata chenona ili ndoa iwepo na maisha ya songe. Sasa hawa wa siku hizi tena Mchaga hamu hapati mpaka amalize marejesho wewe ukae tu unaangalia kisa mlisaidiana maishani?
 
Muda mwingine akili ituongoze kuliko hisia.

Imagine, umemchoma moto mwenzako na kumuua, wewe utaozea jela kwa maumivu makali.

Umefaidika nini sasa? Kwenda kufia jela ndiyo faida?

Aisee!.

Nimewaandikieni ninyi mtaokaosoma hapa.
Et kisa kiungo chake uwiii
 
Huyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.

Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
Kwahio kosa la Marehemu ni kukubali kwenda kupasha kiporo,ndio akawashwa mazima?
 
Bibi zetu walikuwa wakishaona wamezeeka walikuwa wanamtafutia Mzee kabinti kama mke mdogo anapata chenona ili ndoa iwepo na maisha ya songe. Sasa hawa wa siku hizi tena Mchaga hamu hapati mpaka amalize marejesho wewe ukae tu unaangalia kisa mlisaidiana maishani?
Wale wa kiruuu
 
Back
Top Bottom