Huyu dada kwa kumtazama tu kama sio Mrombo huyu basi Mpalestina...
Kwanini useme Mrombo ama mpalestina kamanda?
Huo ni uzinzi tu.Lakini nature yetu wanaume ni kumiliki wanawake, ukisoma maandiko katika Uislam mwanaume ameruhusiwa kumiliki hadi wanne... Kama uko na mmoja lakini hataki umiliki mwingine unamweka pembeni unamiliki wenziwe wanaotaka kumilikiwa zaidi ya mmoja.... Lakini kwa upande wa mwanamke na natural mwanamke ni mama wa nyumba (sijamaanisha ni mama wa nyumbani) hivyo hawezi kumilikiwa na wawili kwa wakati mmoja lazima ataboronga tu!
Natural mwananume ni mtafutaji na hivyo hutumia muda kutafuta kwa ajili ya familia yake, je mwanamke akimilikiwa na wawili umefikiria ni wapi au ni vipi ataendesha familia yake? Katika hao aliowamiliki wakihitaji mtoto kwa wakati mmoja atabeba mimba ya yupi na kuacha yupi asimbebee??
asa hivi jino kwa menomkuu tulia kwanza...ya magunia imexpire hiyo
Habari ya mjini ni petrol
Jokes aside....ukiona mpaka mwanamke kafikia hatua hiyo ujue yalimfika hapaa, huwa sisi ni wavumilivu sana sana
Ni kweli, kama ni hivyo hata Adam alikuwa mzinzi. Ukitafakari jinsi tulivyokuja hapa duniani ni uzinzi tu! Au sio?!Huo ni uzinzi tu.
Kweli sura siyo roho. Kana roho ya upole ila kakatili namna hii!Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.
Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.
Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.
Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu
View attachment 1856008
Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010
Lips zakeMungu wangu!! Mwanaume ameumbika vilivyo, mweeeeh udongo unameza vizuri tyuuh
Hahahaha anachoma Guest nzimaAkikukuta na mchepuko guest house anaweza kuiwasha moto bila kufikiria kuwa wapo na wengine ndani
Bibi zetu walikuwa wakishaona wamezeeka walikuwa wanamtafutia Mzee kabinti kama mke mdogo anapata chenona ili ndoa iwepo na maisha ya songe. Sasa hawa wa siku hizi tena Mchaga hamu hapati mpaka amalize marejesho wewe ukae tu unaangalia kisa mlisaidiana maishani?Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Ni ufala.Sikilizia povuuu la wanaume humu sasa
Wanawake sasa wameamka, huu ndo uanamke wa shoka, sio kuja kulia lia humu sijui napigwa, sijui nanyanyaswa! Piga petrol
Et kisa kiungo chake uwiiiMuda mwingine akili ituongoze kuliko hisia.
Imagine, umemchoma moto mwenzako na kumuua, wewe utaozea jela kwa maumivu makali.
Umefaidika nini sasa? Kwenda kufia jela ndiyo faida?
Aisee!.
Nimewaandikieni ninyi mtaokaosoma hapa.
Kwahio kosa la Marehemu ni kukubali kwenda kupasha kiporo,ndio akawashwa mazima?Huyu Neema huyo Zungu hakuwa mume wake. Hawa walikuwa wapenzi tu, Neema alipata hasira baada ya kujua Zungu ana mwanamke mwingine na amezaa nae. Kwa hiyo mleta mada hapo kwenye mahusiano naona umechanganya kidogo, hawa hawakuwa mke na mume na kila mtu alikuwa anaishi kivyake.
Neema alimrubuni jamaa akalale kwake, jamaa alivyoenda kwa huyo dada ndipo dada akamchoma visu na kisha kumwaga petrol kuchoma nyumba akiwa amemfungia jamaa ndani.
Wale wa kiruuuBibi zetu walikuwa wakishaona wamezeeka walikuwa wanamtafutia Mzee kabinti kama mke mdogo anapata chenona ili ndoa iwepo na maisha ya songe. Sasa hawa wa siku hizi tena Mchaga hamu hapati mpaka amalize marejesho wewe ukae tu unaangalia kisa mlisaidiana maishani?
Kwanza alivyo tyuuh, yaan una kiss nae kujigijigi huku una enjoy na una feel, mweeeehLips zake