Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,366
- 5,967
Haya mambo yanapatikana only africa
Siyo ya yanga?Sura nzuri roho ya simba
Demu lenyewe BAYAMkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.
Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.
Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.
Poleni wafiwa
Wivu ni mbayaView attachment 1855849
Mumewe ni huyu
View attachment 1856008
Kabla ya tukio alipost haya Instagram
View attachment 1856009View attachment 1856010
Kwahiyo Neema alikuwa ni certified promiscuous?Kisasi cha Malaya akipenda ni kibaya sana!
Sahihi kabisa kaka. Hawa wenzetu ni wavumilivu sana ukiwa nao fair, ila ukimzingua, huwa wana maamuzi ya ajabu sana. Binafsi hata katika maisha ya kawaida, huwa sipendi quarrel na mwanamke, huwa wana maamuzi ya ajabu sana hawa viumbe!Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Ha hahAna uzuri gani huyo?
😁 hapana ni simba kamati ya roho mbaya ya chalinze.Siyo ya yanga?
kweli dunia kijiji kumbe unamjuaHuyu dada namfahamu vizuri, na muda mrefu nilimuona ana matatizo fulani ya kisaikolijia isipokuwa inavyoonekana jamii inayomzunguka ilimchukulia kama mtu fulani mkorofi so akakosa tiba sahihi. Hata ulikuwa ukienda pale njia panda ya makabe alipokuwa anauza kongoro alikuwa ni mtu mkorofi mkorofi hivi, kidogo tu kagombana na mteja. Huyo zungu hakuwa mumewe bali hawala tu, kilichomuuzi nafikiri ni kugundua kwamba zungu alikuwa na mwanamke wake mwingine na mtoto.
Naongezea ukishaona dada amepinda mgongo kuja mbele. Namaanisha akitembea kifua kinataka kuonekana mbele kama vile yuko kwenye gwaride. Kama unaenda kwake hakikisha suala la tako sio kipaumbeleUkishaona dada ana nyonyo kubwaaaa...ni nadra sana kuwa na traaako...
Nilisoma hiyo kwenye katiba ya chama cha mabaharia, kipengele cha picha za selfie za wadada
Nilitaka Kuleta Posa kwa Baba Witty lakini nimeogopa.... Nawaza nitakavyokuwa Ndafu mnh..... 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃Nambie Davie
Ukoo wake una kosa Gani?? Huoni na Wewe Ni walewale??Huyu dada dawa yake ni kumpandia Ndizi Sukari tu Mbeyaaaaa! Unafuta ukoo wake wote.
Huwezi kunielewa, huwa hatuachi mapandikizi yatakayomea badae na kutaka kutoa matunda.Ukoo wake una kosa Gani?? Huoni na Wewe Ni walewale??
Yah mkuu ulichoandika hapa kinawezekana.
Inadaiwa walikuwa kwenye relationship zaidi ya miaka saba halafu mwanaume akamkataa bint alikubali ila hizi rabsha za kuchomana moto zilianza muda mrefu kuna siku alimfata kwao kabeba gallon ya petrol kilichosaidia akawa amesahau kiberiti wakamkimbiza sasa jana kamuita kampa offer ya bia kaenda kutekeleza kisasi chake
Hapo zungu akawa anawaza yale mawazo yetu ya kiume aah ex wangu yule kila nikitaka napiga hachomoi na bili analipa
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Ndio huyo huyo mkuu. Nadhani changamoto za familia yao zina mchango mkubwa katika wakati mgumu aliokuwa nao huyu dadaMkuu huyu ndiye yupo na Vicky pale njia panda kulia kama unaelekea Msakuzi?
Baba yake ni jirani yangu kabisa japo familia yake imemeguka vipande vipande sasa amehamia kibamba hata hiyo nyumba iliyoungua jana baba yake ana share na jamaa mmoja yupo kijijini kwa sasa