venossah
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 2,467
- 3,372
Mwenye masikio na asikieMuogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Mwenye masikio na asikieMuogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Omba sana yasikukute ndugu yangu, siku yake tu ilikua imefika apumzike kwa Amani mpambanaji mwenzetu.Huyo mwanaume alikuwa mlemavu au mtu wa mitungi au kikongwe?
Mwanaume mwenye utimilifu wa mwili na akili, huwezi chomwa ndani ya nyumba na usitafute means za kutoka nje hata kwa kupitia kwenye dari, kisha kutoka kupitia roof
Sikilizia povuuu la wanaume humu sasa
Wanawake sasa wameamka, huu ndo uanamke wa shoka, sio kuja kulia lia humu sijui napigwa, sijui nanyanyaswa! Piga petrol
Washauri ujinga! Kama ndio mnavyokaa na kushauriana hivi basi amini nawaambia mtakwisha, yale ya gunia mbili za mkaa kwasasa zitakuwa kuanzia gunia tano!
Mark my words!!
Kwenye issue kama hizi huwa si comment kwa mkurupuko. Mara kibao kwa hizi kesi marehemu huwa ni mchokozi. Naomba niishie hapo kwa leo
Wachaga na wangoni tako ni wapi na wapi!!?
Duh inabidi tujitahidi kucontrol hasira na usifanye maamuzi ukiwa na hasira maana majuto baadaye, sasa Neema jela inamsubiri huku mume hayupo dhamira itamsuta milele so sad
Nimetoka na kitu hapaSahihi kabisa kaka. Hawa wenzetu ni wavumilivu sana ukiwa nao fair, ila ukimzingua, huwa wana maamuzi ya ajabu sana. Binafsi hata katika maisha ya kawaida, huwa sipendi quarrel na mwanamke, huwa wana maamuzi ya ajabu sana hawa viumbe!
Kisaikolojia wanasema mwanamke hupenda kumuona adui yake wa kike akiteseka, ila adui yake wa kiume wao hummaliza sababu wanajua hawana nguvu za kimaumbile kupambana nao.
Ukishaona dada ana nyonyo kubwaaaa...ni nadra sana kuwa na traaako...
Nilisoma hiyo kwenye katiba ya chama cha mabaharia, kipengele cha picha za selfie za wadada
Ndio umchome mwenzio moto. Kuna watu humu mapenzi yamewahi kutujeruhi tukapoteza muda, fedha na kudhalilika lakini sikuwahi fikiria kuuwa.Sometimes tuzitafakari kwa makini hizi scenarios
Unakutana na binti ya watu.. Ana ndoto zake .. Mnayajenga na kuingia kwenye ulimwengu wa mahusiano mpaka ndoa
Anakusaidia kwa mengi mno unamtumia mpaka kusikofaa kutumika kiutu.
Unamharibu na kumharibia mengi.. Ila kwakuwa wewe ni wake anaridhia kiroho safi kabisa na bila kinyongo
HALAFU unakuja kumletea zinazomchoma moyo na kumuumiza hisia...! Muogope sana mwanamke aliyejeruhiwa
Ndio umchome mwenzio moto. Kuna watu humu mapenzi yamewahi kutujeruhi tukapoteza muda, fedha na kudhalilika lakini sikuwahi fikiria kuuwa.
Hakuna justification yoyote inayoruhusu kuuaTunatofautiana mkuu
Aslay IsihakaPusha washa nina stress zimejaa kwenye kicjwa,
Sogeza kiti kaa, nikueleze mabaya yalonikuta,
Kuna kijana ananisumbua sanaa, ...
Tutagawana majengo ya serikali, Niende jela ye aende mochwarii..
Kumbe muziki unaishi
Kabisa nilifanya uamuzi sahihi kuspeak out humu kinachonisibu na nikasaidika, now niko poa kiasi🤔 nawashauri akina Neema wasifanye maamuzi wakiwa na hasira ni majuto baadayeBora yako wewe jamaa alipozingua ulileta uzi huku jamvini tukakufariji moyo na sasa unaendelea vyema. Neema kajichukulia sheria mkononi, kamaliza ye mwenyewe .
Kabisa nilifanya uamuzi sahihi kuspeak out humu kinachonisibu na nikasaidika, now niko poa kiasi nawashauri akina Neema wasifanye maamuzi wakiwa na hasira ni majuto baadaye