hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,396
- 80,344
Mimi huwa najua kuwa huyu ni panzi ...enzi za utoto wangu nilikuwa na wawinda sana hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha wamekuja kipindi watu wanaufaham,na wasivojua kuruka utakuta nzige wote wanapoteaWajasiriamali tunaotengeneza vyakula vya mifugo,tuchangamkie fursa hiyo,badala ya Dagaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Mbowe anahusikaje...Hatuna haja ya kuwadhibiti tutawaelekeza kwenye mashamba ya Mbowe ili akome
Mimi huwa najua kuwa huyu ni panzi ...enzi za utoto wangu nilikuwa na wawinda sana hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Me too[emoji23][emoji23]
'Kubaka panzi'. I see my childhood was superb
Ni watamu sana na nutrient na nchi zingine ni delicacy na ni ghali sana View attachment 1324850View attachment 1324849
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hahaha mkuu na wewe umebaka sana panzi aise ...kumbe tupo wengi !!!
Kuna aina ya panzi Fulani hivi nilikuwa na wapenda sana walikuwa wakiruka wanalia taa taa taa ..tatata... Basi mlio wao ulikuwa unanifurahisha mno
Tuliobaka panzi tupo wengi eeh,nilikuwa na mchezo wakuweka mabangururu ndani ya chupa moja ili yapigane dah ilikuwa awesome yakipigana
Sent using Jamii Forums mobile app
Fursa hizo,wakati wanachangamkia mazao nao tuwachangamkie
mbona huyu ni kuku??
Bado hujaigusa kitimoto haki utasimulia hadi TwitterNi watamu sana na nutrient na nchi zingine ni delicacy na ni ghali sana View attachment 1324850View attachment 1324849
Sent from my iPhone using Tapatalk