Dalili za kujua kama umeanza kuwa kichaa

Dalili za kujua kama umeanza kuwa kichaa

10.kuendelea kuing'ang'ania ccm iendelee kuwepo madarakani wkt fika unajua haijali wananchi wake.
 
NYONGEZA: Kama una uwezo wa kujishuku kwa matendo yako unayofanya ukichaa bado haujakufika mfano kama hujadili pia aina ya uzi wa ku-post JF ni dalili ya kuanzwa na ukichaa .MWISHO:Kichaa hajitambui bali hutambuliwa na wengine.
 
Unashnda kwenye social network everyday ukiblame kwa serkal wakat hat hujui mchana utakula nin!

2.kutongoza tongoza na ku Pm ID's unazohs ni za kike ukipgwa mzinga unanza na mauzi yako ya kulia lia wakat unajua ww ni jobless na mapenz bila pesa sawa kula mlenda kwa pilau

Jiandae kuhdhuria pychiatric unit pale MHC
 
Mmesahau hizi: 1. hofu kila wakati 2. hasira za karibu 3. mapigo ya moyo kwenda ovyo 4. wivu wa kupindukia 5. kutawaliwa na ndoto za mchana 6. kujitenga na jamii 7. kuhisi umekosa thamani 8. kutoogofa kifo 9. kujifanya mjuaji wa mambo 10. kupungukiwa nguvu za mwili na akili 11. kushtuka usingizini usiku 12. kususa kula
 
1. Unafikiria mipango mikubwa lakini haujishughulishi kabisa wewe ni wakulala tu.

2. Kila ukiona wenzako wanaojituma wanafanya mambo makubwa kimaisha wewe lazima ujisemeshe kuna mkono wa freemason

3. Wewe kila post ni kubishia tu hata hii unaweza ukakuta unaijadili siku nzima na kusahau wajibu wako wa siku.

4. Wewe ni mzee wa kuropoka ropoka tu mkigombana na mpenzi wako mpaka mambo ya ndani bilakujua na wewe unajichora

5. Ukipigwa kibuti tu kazi haziendi na unaweza kupatwa na malaria juu

6. Kila kinachokusibu lazima ukiweke FB kama vile FB ndio wanaokusaidia vile.
Hata wewe mleta Mada namba 3 inakuhusu! Umesahau wajibu wako wa siku na kutuletea Ukichaa wako huku!
 
Hii nayo ni dalili nyingine!!

Topic: Hivi mungu wa Mungu ni nani na yuko wapi, na anafanya nini..??!
Page 3 of 3 First 123
FRANCIS DA DON 18:14 Yesterday
Kwa kweli there is no way useme kwamba Mungu alikuwepo tu since forever.., yaani alitokea tangu milele yote.., its impossible. ngoja nikwambie kwanini.

1.) assuming Mungu ali-exist since forever, na tunaipa forever a value T. Sasa niambie at time (T-1 second) alikuwepo..??!

2.) Na at time (T-1 second) palikuwa na nani.., je ndie aliyefanya uumbaji..?! na je yeye huyo aliekuwepo at time (T-1 Second) kaumbwa na nani na katokea wapi na kwa sababu gani na kwa faida gani na ya nani..??! na ili iweje..??!

3.) Na tukisema Mungu atakuwepo up to forever, na tukaipa hiyo forever a value F, je at time (F + 1 second atakuwa wapi)..??!
 
Loohh!! Mimi nina dalili zote ulizo zitaja za kupata kichaa.
 
1. Unafikiria mipango mikubwa lakini haujishughulishi kabisa wewe ni wakulala tu.

2. Kila ukiona wenzako wanaojituma wanafanya mambo makubwa kimaisha wewe lazima ujisemeshe kuna mkono wa freemason

3. Wewe kila post ni kubishia tu hata hii unaweza ukakuta unaijadili siku nzima na kusahau wajibu wako wa siku.

4. Wewe ni mzee wa kuropoka ropoka tu mkigombana na mpenzi wako mpaka mambo ya ndani bilakujua na wewe unajichora

5. Ukipigwa kibuti tu kazi haziendi na unaweza kupatwa na malaria juu

6. Kila kinachokusibu lazima ukiweke FB kama vile FB ndio wanaokusaidia vile.

No. 7. Ukiona unaipenda ccm kwa dhati, na unaamini kwa moyo wako wote kwamba italeta maisha bora kwa kila mtanzania, na pia unafikiria kuipigia kura ccm 2015,jua umeshachanganyikiwa unasubiri kuwa kichaa..
 
Back
Top Bottom