kuja kupost jamii forum sababu za mtu asiyejielewa na kuaminisha watu et n dalili za ukichaa.hyo n dalili kuu
7. Kushindwa kuandika kiswahili fasaha badala ya dalili unaandika alili nayo ni 1wpo ya ukichaa
8.Kila biashara kubwa Tanzania ni ya Ridhiwani.1. Unafikiria mipango mikubwa lakini haujishughulishi kabisa wewe ni wakulala tu.
2. Kila ukiona wenzako wanaojituma wanafanya mambo makubwa kimaisha wewe lazima ujisemeshe kuna mkono wa freemason
3. Wewe kila post ni kubishia tu hata hii unaweza ukakuta unaijadili siku nzima na kusahau wajibu wako wa siku.
4. Wewe ni mzee wa kuropoka ropoka tu mkigombana na mpenzi wako mpaka mambo ya ndani bilakujua na wewe unajichora
5. Ukipigwa kibuti tu kazi haziendi na unaweza kupatwa na malaria juu
6. Kila kinachokusibu lazima ukiweke FB kama vile FB ndio wanaokusaidia vile.
nawewe mzima kweli mbona unatia mashaka hiv1. Unafikiria mipango mikubwa lakini haujishughulishi kabisa wewe ni wakulala tu.
2. Kila ukiona wenzako wanaojituma wanafanya mambo makubwa kimaisha wewe lazima ujisemeshe kuna mkono wa freemason
3. Wewe kila post ni kubishia tu hata hii unaweza ukakuta unaijadili siku nzima na kusahau wajibu wako wa siku.
4. Wewe ni mzee wa kuropoka ropoka tu mkigombana na mpenzi wako mpaka mambo ya ndani bilakujua na wewe unajichora
5. Ukipigwa kibuti tu kazi haziendi na unaweza kupatwa na malaria juu
6. Kila kinachokusibu lazima ukiweke FB kama vile FB ndio wanaokusaidia vile.
Aaa wapi hakuna lolote!
Kwani kichaa anajitambua?yawezekana mleta mada naye yupo kwenye kundi hlo la vichaa
Huyu alieleta hii thread aanze kupimwa akili yy maana sioni cha mhimu alichoandika..... Hii inawahusu vipi wale wasiotumia social media? Inawahusu vipi wassio kwenye mahusiano?