Dalili kwamba umenenepa

Dalili kwamba umenenepa

Halafu nasikia inachelewa sana kusagwa tumboni, yaani inaenda hadi siku tatu bado iko tumboni....sasa kwa nini mtu usijambe na kuota vibaya vitambi.....na isitoshe wengi wao hatufanyi kazi za kuushughulisha mwili kwa kiasi cha kutosha.
Unakuta kwenye hizo siku tatu umeshapakia nyingine unaongeza siku za mzigo kuwepo tumboni...weekend unakuta umepakia za ijumaa,jumamosi na jumapili....unatembea na mzigo wa siku 12....kabla hujaisha weekend hii hapa ...kwanini usitoke kitambi kwa mfano.
 
Nazingatia mkuu.. Kuku wa kisasa..Mayai..Chips hizii.. Nyama chomaa yani sigusiii..!! Now najifeel kupungua kabisa.. hata Nguo zilizokuwa zinanibana now at lst... Unene mbaya sana
Umejitahidi sana mzee ,,,me nimeacha vingi ila ugali nyama choma na serengeti lite vimenitoa knock out...
 
Unakuta kwenye hizo siku tatu umeshapakia nyingine unaongeza siku za mzigo kuwepo tumboni...weekend unakuta umepakia za ijumaa,jumamosi na jumapili....unatembea na mzigo wa siku 12....kabla hujaisha weekend hii hapa ...kwanini usitoke kitambi kwa mfano.
 
Vyakula vyenye protein kama nyama, maharage, maziwa, njegere n.k kwa kujambisha ndio vyenyewe. Hata watoto wanaonyonya wanajamba sana. Ila havinenepeshi, tatizo carbohydrates, wali, ugali, viazi, ndizi, mikate, chapati, sukari ndivyo vinatumaliza.
 
Vyakula vyenye protein kama nyama, maharage, maziwa, njegere n.k kwa kujambisha ndio vyenyewe. Hata watoto wanaonyonya wanajamba sana. Ila havinenepeshi, tatizo carbohydrates, wali, ugali, viazi, ndizi, mikate, chapati, sukari ndivyo vinatumaliza.
Wadau wa ugali nyama choma na bia unatushaurije mamaa?
 
nimeanza bomoa naona naenda vizuri japo kwa uchungu sana kama leo imebidi nisitoke ili niendelee kula dona na kabichi pamoja na mtindi kisha jioni mazoezi.
 
nimeanza bomoa naona naenda vizuri japo kwa uchungu sana kama leo imebidi nisitoke ili niendelee kula dona na kabichi pamoja na mtindi kisha jioni mazoezi.
Issue ni kujizuia usirudi..kujisahau kupo sana
 
Beer zina calories nyingi sababu ya carbohydrates, na alcohol inaingiliana na uwezo wa mwili ku burn fat, inazorotesha metabolism....haifai
Duuh,,,Lakini Dona nyama choma poa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom