Dalili kwamba umenenepa

Dalili kwamba umenenepa

Sili mchana siku hizi kukwepa maneno ya Mbona umenenepa sana..Kila ninaekutana nae hakuna kipya zaidi ya hilo swali
huo mchana tafuta shimha kichupa kimoja mkuu... wiki tu utaleta mrejesho jukwaani
 
Issue ni kujizuia usirudi..kujisahau kupo sana
ni kweli madhara ya unene ni mabay kuzidi yanavyoonekana katika mwili nilichokigundua sikuamini kabisa kwa kuwa kunawakati mishipa inajaa lea za mafuta na kufanya damu isiende vizuri matokeo yake effected organ na brain hakuna mawasiliano sawasawa hili nililiona wakati nafundishwa mazoezi kuna mazoezi rahisi nilikuwa nashindwa kufanya kwa ajili ya owoga.
 
Hapo sasa, kwani hata hizo protein nyama, samaki, mayai ni vitu expensive kwetu ndio maana tunafakamia carbohydrates ili tujaze matumbo siku ziende.
Namaanisha value kinywaji hakifai...au wines kama Altar
 
Namaanisha value kinywaji hakifai...au wines kama Altar
Aah kumbe Valur... ndio inaandikwa hivyo si ndio? Hiyo ni spirit ina calories kidogo ukilinganisha na bia. Wines zina calories nyingi sana haswa zile sweet bora dry
 
Aah kumbe Valur... ndio inaandikwa hivyo si ndio? Hiyo ni spirit ina calories kidogo ukilinganisha na bia. Wines zina calories nyingi sana haswa zile sweet bora dry
By sweet unamaanisha red wine?
 
Inawezekana namba 3 imekuhusu 100%
We ni mtu wa pili sasa unasisitiza hili siyo kila linalomtokea wewe limtokeee na mwingine. Mi nimesema hali hiyo hutokea pindi nilapo miharage hasa ile ya nazi aisee...ila nikila vyakula vingine inakuwa kawaida tu kwa afya
 
Aah kumbe Valur... ndio inaandikwa hivyo si ndio? Hiyo ni spirit ina calories kidogo ukilinganisha na bia. Wines zina calories nyingi sana haswa zile sweet bora dry
By Sweet unamaanisha red wine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom