Dalili kwamba umenenepa

Dalili kwamba umenenepa

Sidhani Kama itakusaidia sana Mkuu. Mchana kula vizuri.... Usiku kula Matunda pekee .
Yaah najua mkuu naona inanisaidia usiku ofcoz ndo Mwili unajijenga sana.. Ila naona mchana ni vizuri kwangu.. Maana kulala njaa sio mchezo
 
Yaah najua mkuu naona inanisaidia usiku ofcoz ndo Mwili unajijenga sana.. Ila naona mchana ni vizuri kwangu.. Maana kulala njaa sio mchezo
Nimekuelewa Mkuu. Unahofu ya kukosa kabisa nguvu za kucheza mechi za muda hiyo. Nimekupata Mkuu. Kama ratiba uliyonayo inakusaidia .... It's well and Good.
 
Na hii wiki, kimbaumbau atageuka tukunyema
 
Namba 1 na 5 siyo za lazima kutokea. Ila kuna namba zinanihusu hapo ila nishaanza mpango mkakati wa 2019 kudhibiti hili tatizo hasa namba nne kutoka kwa majirani
Hili la kuanza kuitwa bonge ni tatizo la wengi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom