Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
teh teh teh....Wakigoma wiki hivi naweza ni pendeza na labda kuwa kiportable... Lakini kuna watu wananipenda na unene wangu hivi hivi...
teh teh teh....Wakigoma wiki hivi naweza ni pendeza na labda kuwa kiportable... Lakini kuna watu wananipenda na unene wangu hivi hivi...
Sasa hivi polisi wanapambana na madereva wa daladala waliogoma.....ni vurugu tupu.... si unajua tena hawa Polisi wetu wamefundishwa kupiga risasi za kichwa.......
kwanza CCM wanabahati matukio yote haya yanatokea CHADEMA ikiwa haiko vizuri sana na Lema yuko bungeni vinginevyo swala la Umeya, umeme na mgomo huu tungeliunga maana vijana wako tayari....Poleni watu wa Arusha kwa usumbufu na mateso haya ya usafiri.
Si ajabu tukasikia kutoka upande wa pili kwamba chadema ndio wamewahamasisha madereva kugoma!!!
BTW; Leo bila shaka utakuwa umefurahi kwakuwa vile vibajaji vyako vitakuwa vimekula nyomi za hatari!! faida ya uwekezaji hiyo!!
sidhani Mpwa kama wapo.......au labda wapo viongozi wasio viongozi...hivi nchi hii inauongozi kweli!??
Km 11 kwa asubuhi na KM 11 kwa jioni hapo kuna kazi itafanyika...Poleni sana wadau ndo mambo ya tz
anzeni stail ya walk to work/office!
Na wao wagome ndiyo panoga haswa maana tumeshachoshwa na huu upuuzi wa ccm.Waendesha pikipiki AKA Bodaboda leo ndio siku yao yaani wanakamua sio mchezo town trip shilingi elfu nne (4000) wao wanakwambia kama hutaki tembea kwa miguu!
Hakika hata mimi nawashangaa sana hawa jamaa!Ila huu mgomo naona wamejipanga vema kwani hakuna hata daladala moja barabarani na bodaboda leo ni sherehe
Nimepita barabara ya Idara ya maji na uhuru nikajichanganya na vijana yaani wanachopanga ni kuvamia maduka yaliyoko uhuru road hasa ya simu maana wanadai kama ajira zao wanazo zitegemea ni udereva na ukondakta na sasa magari yana kamatwa basi itabidi wagawane umasikini na matajiri wa Arusha..mmoja nimemsikia akisema nasubiri kinuke siongopi mabomu na risasi nitazama kwenye duka la mdosi nichukua phone kama 5 za ukweli basi...
Mgomo ulianza Alhamisi ya wiki iliyopita kwa magari ya Unga ltd magari ya kijenge yakaamlisha yakafanye badala ya magari hayo sasa naona wameamua kujumuika wote ingawa nimeona kuna baadhi ya magari ya moshi yalikuwa yana pakia abiria...Hakika hata mimi nawashangaa sana hawa jamaa!
Mji mzima umerespond, na kwa kuwapima nawapa asilimia 93. Ni saa 6 sasa hivi hakuna dalili ya dala2 popote mjini Arusha!
Itabidi mbinu hii itumike na wanasiasa kuhamasisha wananchi katika ujenzi wa Taifa!
yaani hii ingekuwa tamu kweli lakini hata hivi sasa ngoja tuone mpaka kesho nini kitatokea kama madereva hawata saritiana maana kugoma kazi kweli kweli..Na wao wagome ndiyo panoga haswa maana tumeshachoshwa na huu upuuzi wa ccm.
Leo boda boda ni dhahabu.
ukitaka kupanda toyo angalia umri wa dereva ukiona mzee huyu ndiyo anafaa wengi wao wako makini
Na madaktari wa hapo Mt Meru Hospital wawepo makini maaana hizo ajari sijui itakuwaje, Kwa wale watakao panda Toyo iko shughuri pevu. Inabidi dreva wa toyo umshikie kisu shingoni aendeshe unavyotaka maaana wanajifanya wanajua mashindano
Hakika hata mimi nawashangaa sana hawa jamaa!
Mji mzima umerespond, na kwa kuwapima nawapa asilimia 93. Ni saa 6 sasa hivi hakuna dalili ya dala2 popote mjini Arusha!
Itabidi mbinu hii itumike na wanasiasa kuhamasisha wananchi katika ujenzi wa Taifa!