LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 519
Ona akili zako sasa. Hapo patamu kwenye kuuwa Polisi au nini?hapo patamu..
Ona akili zako sasa. Hapo patamu kwenye kuuwa Polisi au nini?hapo patamu..
kuna tetesi kwamba kuna maandamano ya vijana wa chadema mjini arusha na polisi wanapiga mabomu ya machozi kuwanyamazisha mwenye taarifa zaidi naomba utujuze zaidi
imetokea mida gani mzee?Jamani kuna tetesi kuwa vurugu za mgomo wa daladala za Arusha maarufu kama (vifodi) yamechukua sura mpya baada ya kuwepo tetesi kuwa kuna polisi wa usalama barabarani ameuwa maeneo ya sanawari na vurugu ni kubwa sana nitawajuza ki undani naendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi
sasa chadema wamehusika vipi na mgomo wa madereva?Chadema kuweni makini na amani ya Tanzania!
Kuhamisha mikutano iliyokuwa ikifanyika arusha ni JK kutaka kuwakomoa, wala si suala la amani; ni katika ile falsafa ya ccm kuwa kila penye mpinzani basi ikiwezekana maendeleo yadorore; wanasahau kuwa watu hao wanalipa kodi kama wengine. Kumbuka ule esemi wa Sumaye kuwa ukitaka kufanikiwa basi pandisha bendera ya ccm.
Arusha ilikuwa inahesabika kuwa ni jiji linalokua kwa kasi sana baada ya Mwanza na DSM, kwa mwelekeo huu anguko la Arusha liko mbele yetu kwa sababu za siasa za kukamiana. Wanaofuatilia mambo watagundua kuwa mikutano yote ya kimataifa inayomhusisha Raisi wetu haifanyiki tena Arusha badala yake ni DSM au Dodoma (St. Gaspar); kwa kiasi fulani kwa wenye mahoteli jijini Arusha hili ni pigo kubwa sana. Zaidi sana tangu kuzinduliwa upya kwa East Africa Community mikutano yote ilikuwa inafanyika Arusha lakini mwaka huu Maraisi wa nchi za Africa ya Mashariki walikutana DSM badala ya sehemu iliyozoeleka ya jiji la Arusha.
Kwa wenye mahoteli hii ni changa moto kwa wao kuungana na ikiwezekana wagharamie vikao vya maridhiano ili amani iweze kurejea Arusha na biashara zao ziweze kushamiri. Kama wangekuwa wanaona mbali, wangetumia hata mbinu ya Jairo kupooza mambo kabla ya biashara zao hazijaingia kwenye misukosuko ya kushindwa kulipa mikopo
Chadema kuweni makini na amani ya Tanzania!
Chadema kuweni makini na amani ya Tanzania!
Chadema kuweni makini na amani ya Tanzania!
Ama kweli ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Mzee wa Posho. Nafikiri hata aliyewatuma atashangaa akili yenu ilivyo! Chadema inakujaje hapa?Chadema kuweni makini na amani ya Tanzania!
Arusha ilikuwa inahesabika kuwa ni jiji linalokua kwa kasi sana baada ya Mwanza na DSM, kwa mwelekeo huu anguko la Arusha liko mbele yetu kwa sababu za siasa za kukamiana. Wanaofuatilia mambo watagundua kuwa mikutano yote ya kimataifa inayomhusisha Raisi wetu haifanyiki tena Arusha badala yake ni DSM au Dodoma (St. Gaspar); kwa kiasi fulani kwa wenye mahoteli jijini Arusha hili ni pigo kubwa sana. Zaidi sana tangu kuzinduliwa upya kwa East Africa Community mikutano yote ilikuwa inafanyika Arusha lakini mwaka huu Maraisi wa nchi za Africa ya Mashariki walikutana DSM badala ya sehemu iliyozoeleka ya jiji la Arusha.
Kwa wenye mahoteli hii ni changa moto kwa wao kuungana na ikiwezekana wagharamie vikao vya maridhiano ili amani iweze kurejea Arusha na biashara zao ziweze kushamiri. Kama wangekuwa wanaona mbali, wangetumia hata mbinu ya Jairo kupooza mambo kabla ya biashara zao hazijaingia kwenye misukosuko ya kushindwa kulipa mikopo
Alaah kumbe '******' yana kazi nyingine pia!!Acha kuwaza kwa kutumia makalio mkuu....chadema wana husika vipi kwa hili...