guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
Ahahhah,mbona sikuoniBwashee nipo ndani ya Jamhuri stadium!
Ahahhah,mbona sikuoniBwashee nipo ndani ya Jamhuri stadium!
Mabasi mengi ya daladala yanayofanya kazi kati ya Makumbusho, Bunju, Tegeta na Mbweni yamekodiwa na CHADEMA kubeba wanachama wake na yanapeperusha bendera za CHADEMA.
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini Dsm maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
iko siku uongo utakudhalilishaMabasi mengi ya daladala yanayofanya kazi kati ya Makumbusho, Bunju, Tegeta na Mbweni yamekodiwa na CHADEMA kubeba wanachama wake na yanapeperusha bendera za CHADEMA.
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini Dsm maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hizi ni picha za Kigoma wakati ule wakimbizi wakirejeshwa kwao. Ndiyo maana kwa chini kulia (hapo kwenye bodaboda) kuna bendera za ccm
Nipo Dodoma magari ya serikali za mitaa plate namba SM zimebeba wanaccm !!!Mabasi mengi ya daladala yanayofanya kazi kati ya Makumbusho, Bunju, Tegeta na Mbweni yamekodiwa na CHADEMA kubeba wanachama wake na yanapeperusha bendera za CHADEMA.
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini DSM maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee Kawe kulikoni?!hahah thread hii imefunguliwa baada ya kusambaa kwa picha za malori yaliyojaza wanaCCM huko dodoma 🤣 🤣