Prof. anasema hakuna mgao wa umeme bali ni urekebishaji wa miundo mbinu ambayo mengine iko toka enzi za ukoloni. Hivyo katika zoezi la uboreshaji inabidi uzimw sehem zingine.Sikukiona kufuatia makali ya mgawo wa umeme. Tangu jana asubuhi mpaka leo hii hatuna umeme maeneo ya Gongolamboto.
Wale walioandamana mtwara nihaki yao kwasababu kama ni mwekezaji wanataka shughuli zote zianzie pale sasa shida iko wapi kama ni usafiri wa vifaa bandari ipo barabara hata kwandege vifaa vinasafiri sasa iweje leo hii hawa wana mtwara wadharaulike kiasi hicho hapa tz kunasehemu kama mtera kihansi kunazalishwa umeme lakini wananchi waeneo lile wanaambulia kuhesabu nguzo za umeme ambao wao hawautumii kisa unakuja dar wana mtwara msilale kwenye hili isije ikawa kama vifaranga vya kuku huwa viki uliza mama tutanyonya lini mama anawambia kesho
Ichi kipindi bwana dàah kimekua cha watu kujichukulia maujiko . .semunyu haulizi maswali magumu kabisaa. . .uyu kijana vipi me cridhiki kabisaaa. .Aangalie HardTalk ya bbc (af anunue koti jingine bas na icho kiatu dah)
Prof. anasema hakuna mgao wa umeme bali ni urekebishaji wa miundo mbinu ambayo mengine iko toka enzi za ukoloni. Hivyo katika zoezi la uboreshaji inabidi uzimw sehem zingine.
Huwa ananiudhi na mashati yake ya udhurungi!!! Skunk!hahaha makubwa... Salary ya mengi haitosh nunua mavi tu ya anasa.likichanika tanunua ingne
45min ni kwa viongozi wa CCM tu???
Huyu jamaa kani impress na maelezo yake. Nimependa alivyosema haongelei siasa bali uchumi na maendeleo. Na kweli katika kipindi kajitahidi mno kutkuonyesha any political bias, in fact sidhani kama kajitahidi bali ni hulka yake.
Nafkiri ni kati ya viongozi wachache geniune.
Pia nimefurahi kusikia kauli yake ya kwamba lazma TANESCO ivunjwe na ijengwe TANESCO mpya!! Unajua tulishasahau kero za umeme tulizopata mwaka jana na upuuzi wa TANESCO.
Thanks Prof, naomba tu usije ukahamishwa wizara kabla ya sisi kuona matunda yako!