Prof. Sospeter Muhongo: Kila Shule ya Msingi/Sekondari Iwe na Maktaba

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,909
945
Prof. Sospeter Muhongo - Kila Shule ya Msingi/Sekondari Iwe na Maktaba/Maabara

Prof. Sospeter Muhongo Akiishauri Wizara ya Elimu, Sayansi & Teknolojia

Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo ametoa ushauri kwenye uboreshaji wa ELIMU yetu.

Mbunge huyo ameelezea umuhimu wa kuwepo Maktaba na Maabara kwenye shule zetu. Vilevile, ameeleza umuhimu wa "space sciences & technologies."

Tafadhali msikilize Prof. Muhongo kutoka kwenye VIDEO/CLIP iliyoambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumatano, 17.5.2023

 
Naunga mkono hoja.

Lakini pia kila wilaya iwe na maktaba. Ili kuijengea jamii utamaduni wa kusomea na kutwaa maarifa.
 
Wazo zuri, tatzo vitabu vyetu vya kufundishia vimejaa history ya mkoloni tu,
 
Prof. Sospeter Muhongo - Kila Shule ya Msingi/Sekondari Iwe na Maktaba/Maabara

Mhe. Prof. Sospeter Muhongo Akiishauri Wizara ya Elimu, Sayansi & Teknolojia

Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mhe. Prof. Sospeter Muhongo ametoa ushauri kwenye uboreshaji wa ELIMU yetu.

Mbunge huyo ameelezea umuhimu wa kuwepo Maktaba na Maabara kwenye shule zetu. Vilevile, ameeleza umuhimu wa "space sciences & technologies."

Tafadhali msikilize Mhe. Prof. Muhongo kutoka kwenye VIDEO/CLIP iliyoambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumatano, 17.5.2023
Professor ni vizuri tukawa na madarasa na madawati ya kutosha kwanza halafu ndio tutakuwa hizo maktaba au unaonaje?
 
Back
Top Bottom