Dah kweli dini na sayansi haitakuja zipatane, Uislamu wanaamini mtoto mchanga hulia kisa ameguswa na shetani

Dah kweli dini na sayansi haitakuja zipatane, Uislamu wanaamini mtoto mchanga hulia kisa ameguswa na shetani

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
33,476
Reaction score
53,335
Kuna watu hung'ang'ania kwamba eti dini ya uislamu ndio ambayo inaendana na sayansi licha ya kuwa na mambo yasiyo kabisa, ikiwemo kudai eti Mohammad kapasua mwezi vipande viwili, mara sijui alipaa na farasi hadi sayari ya mbali.
Sasa hapa nimekutana na hii eti mtoto anapozaliwa, kile kilio cha kwanza hutokana na kuguswa na shetani 😀 😀 😀 😀 😀 😛 😛

main-qimg-607ace486e606c5156fa34eb2e48ec3a
 
Kuna watu hung'ang'ania kwamba eti dini ya uislamu ndio ambayo inaendana na sayansi licha ya kuwa na mambo yasiyo kabisa, ikiwemo kudai eti Mohammad kapasua mwezi vipande viwili, mara sijui alipaa na farasi hadi sayari ya mbali.
Sasa hapa nimekutana na hii eti mtoto anapozaliwa, kile kilio cha kwanza hutokana na kuguswa na shetani 😀 😀 😀 😀 😀 😛 😛

main-qimg-607ace486e606c5156fa34eb2e48ec3a
Naona hiyo shingo yako huipendi
 
Ngoja waje kukunyakua hujipendi
Kuna dini pia wanaamini Jua linazama kwenye matope
Eti oh mara jua linazama topeni....tehe!
Ila nachojua mudi alikuwa anabip Tu matokeo Yake kitu kikatiki. Na ikitokea akajua yanaondlea baada ya yeye kufa atashikwa na mshtuko.

Nyau de adriz
Uislamu ni dini iliyoanzishwa na wahuni WASIO na elimu

Ukiuusoma uislamu unaweza kuwa unacheka tu

View attachment 3328856
Kila siku nasema humu Extremists Galatians kuwa hamna akili mkiongozwa na mleta mada MK254 , sasa tukitaka masuala yote ya kidini tujadili kwa mtasamo wenu finyu si mtakimbia nikianza kuichambua Maboko na Maujinga yaliyomo katika Bible ?

Tuanze Moja la Yesu kutembea juu maji . Je , kisayansi inawezekana ? You The Mongolian Savage Pathetic Scumbag nenda Posta katembee juu ya bahari kama Yesu tukuone Maarass!!
 
Kila siku nasema humu Extremists Galatians kuwa hamna akili mkiongozwa na mleta mada MK254 , sasa tukitaka masuala yote ya kidini tujadili kwa mtasamo wenu finyu si mtakimbia nikianza kuichambua Maboko na Maujinga yaliyomo katika Bible ?

Tuanze Moja la Yesu kutembea juu maji . Je , kisayansi inawezekana ? You The Mongolian Savage Pathetic Scumbag nenda Posta katembee juu ya bahari kama Yesu tukuone Maarass!!
Hahaha 🤣 😂 nimecheka Kwa sauti haha Maamae Hadi wetu wakashangaa.
 
Nina Bible nimemaliza kusoma Injili ya Mathayo sasa naingia Marko , ila siku hizi masomo yamenibana Nina kama wiki sijaisoma .

Injili Moja nimeMark MaBlunders na Maujinga mengi ambayo hata kiakili na Scientifically hayaingii akilini , sasa nikitaka kuwa kama Wapuuzi Extremists Galatians kujaza nyuzi kwa ajili ya kudhihaki mafundisho yenu si mtakimbia humu ?

Sio kama siwezi ila naona battle hizo hazina maana na Nina mengi ya kufanya .
IMG_20250509_181154.jpg
 
Haya mambo ukiyafikiria utaona dini zote ni ukichaa na kisayansi inawezekana vipi mtu kuzaliwa bila baba?, Je inawezekana vipi kisayansi mtu kutembea juu ya maji?, inawezekana vipi kisayansi ndege wa udongo kugeuka akawa ndege wa kweli mwenye uhai?...unaona Sasa, Mimi naona hakuna haja ya mtu kushangaa ama kubeza dini ya mwenzako kuwa ni ya mchongo maana Kuna mambo chungu nzima kidini kwenye sayansi hayawezekani, yaani kama ni chizi basi ni machizi yanachekana.
 
Kila siku nasema humu Extremists Galatians kuwa hamna akili mkiongozwa na mleta mada MK254 , sasa tukitaka masuala yote ya kidini tujadili kwa mtasamo wenu finyu si mtakimbia nikianza kuichambua Maboko na Maujinga yaliyomo katika Bible ?

Tuanze Moja la Yesu kutembea juu maji . Je , kisayansi inawezekana ? You The Mongolian Savage Pathetic Scumbag nenda Posta katembee juu ya bahari kama Yesu tukuone Maarass!!

Dini zote duniani huwa na haya maelezo ya miujiza miujiza, ila dini yenu changa iliyokuja juzi ndio hujisifia kuendana na sayansi, halafu hapo hapo inaeleza maujuha kama yote. Dini na sayansi haziendani, inabidi uchague moja.
Uislamu licha ya kujinadi eti ndio dini inaendana na sayansi ila kicjekesho ni kwamba hamna kilichobuniwa na nyie watu, hata mafuta ilibidi mzungu aje kuyagundua.
 
Nina Bible nimemaliza kusoma Injili ya Mathayo sasa naingia Marko , ila siku hizi masomo yamenibana Nina kama wiki sijaisoma .

Injili Moja nimeMark MaBlunders na Maujinga mengi ambayo hata kiakili na Scientifically hayaingii akilini , sasa nikitaka kuwa kama Wapuuzi Extremists Galatians kujaza nyuzi kwa ajili ya kudhihaki mafundisho yenu si mtakimbia humu ?

Sio kama siwezi ila naona battle hizo hazina maana na Nina mengi ya kufanya .View attachment 3328922

Uzuri kwenye Ukristo huwa hawajinadi kuwa dini inayoendana na sayansi kama ujuha wa kwenu huko.
 
Haya mambo ukiyafikiria utaona dini zote ni ukichaa na kisayansi inawezekana vipi mtu kuzaliwa bila baba?, Je inawezekana vipi kisayansi mtu kutembea juu ya maji?, inawezekana vipi kisayansi ndege wa udongo kugeuka akawa ndege wa kweli mwenye uhai?...unaona Sasa, Mimi naona hakuna haja ya mtu kushangaa ama kubeza dini ya mwenzako kuwa ni ya mchongo maana Kuna mambo chungu nzima kidini kwenye sayansi hayawezekani, yaani kama ni chizi basi ni machizi yanachekana.

Kwenye Ukristo hawajawahi kujinadi kuwa wanaendana na sayansi, ila uislamu kila siku wanajisifia eti ndio dini pekee inayoendana na sayansi eti kwa vile wao huhubiri kuwa binadamu alitengenezwa kwa manii...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom