Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
Am in love,i knw it.
Ishu ilikuwa Love is blind, lakini mwanamke anaanza kumpenda mwanaume baada ya kutongozwa kwa maana hiyo penzi sio kipofu bila kutongozwa na Fidel wewe Gaga usingenipenda au sio? Kwa hiyo maneno yangu matamu yamekufanya unipende.
kupendwa raha jamaniMpwa naona uko kikazi zaidi....... Ila nakutahadharisha hili jina Gaga lina mmiliki wake!!
Komredi leo upo vere vere kwenye hii "in love" Vp jana Mwamvita wa Machimachi guest alikutoa aout nini?Unamaanisha haliki au? Wachina wanakula hadi nyoka kwa pweza na ngisi kitaeleweka
pole sana kitaambo ilishanitokea ni ngumu kumeza na kutema pia, wanawake huwa wanateseka zaidi sababu hawawezi wengi kwenda next step yaani kumwambia muhusika...but still you can shoe him signs
Hommie Smiles sijui kaenda wapi banaaOk babiiii,
Mie nimempoteza Smiles wangu bana!
Tulizo todate nimekusoma kua you have love, Love for your family especially your kids, you wife you appreciate to the maximum, you acknowledge her you are a responsible man (dad & hubby) But wewe kila ufanyalo is out of Logic/reality and basing on what is proper... as in what it right or wrong... .Tokana na maelezo yako katika post zako za miezi nyuma kadha you do Love your wife na upo for her every need, but in love NO! Then ukasisitiza what you feel for your wife has always been that way hata kwa other ladies wa nyuma,,,,
Don't say I didn't warn you YOOOOO! IGWEEEEE!!Unamaanisha haliki au? Wachina wanakula hadi nyoka kwa pweza na ngisi kitaeleweka
Wivu sina ila roho inauma!!mie nishawahi kupenda zamani sana bila hata ya kuambiwa na huyo kijana, hiyo nayo unaiitaje
hv unaweza kuwa umefall in love kiukweli mara ngapi jamani? Nahisi moyo nao unakuwa unafanya depreciationok nimekubali.... Swali lingine...
Leo nakuletea limbwata uniongezee dozi! Sijawahi kujuta kukupenda!!kupendwa raha jamani
Kwahiyo nikitokea mimi halafu moyo wako ukaanza kusikia mishtuko na vibration you'll probably be in love si ndio....lollakini wanasema unaweza kujifunza kumpenda mtu.love ipo tf ila automatically tu sijiskii mishtuko au mavibration ya moyo kiviiile nipo nipo tu ila i think an in love
I think i'm about to become one of them....just watch me out...lolPA I see you see.....lol... Are you by any chance the crasher??
jf ina mambo???????????????hommie smiles sijui kaenda wapi banaa
And why do you think the said person is lucky?Who is the Lucky person?? lol
Ingia kwenye plan B sasa ya kumfanya aone wivuam past that already my dear,tayari tuna mahusiano but now i feel ni kama ndio nimeanza kumpenda na nnampenda kupitiliza na haonyeshi kuapreciate