Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mhhhhh.....lol...back in the days acha tu
Dogo nasikia ulilazwa wodi moja na Vengu alipo kuja JK kuwatembelea ukapona gafla lol
Mhhhhh.....lol...back in the days acha tu
Hii ni habari njema.... Jipange na kuoa kabisa bana Fidel.....
Kwahiyo mpwa unataka kutuambia Manka wa TipTop ndo inakula kwake mazima?Yule binti i see ngoja nisubili miezi 3 kwanza ajanjaruke maana mtoto bado hajapigwa soap soap anang'aa sijui bro kamtoa wapi wallah
Dah! Rocky a dedication to you.... From Trey Songs....
etiiii????Yaani leo ndo nimegundua shem..
Kumbe am in love with you......Yes, you AshaDii!
Khaa!
Kama ni kung'olewa meno niko tayari....
Narudia tena, Am in love with my darling shem.... Yes I've just said it......... And I mean it?:focus:
Kwahiyo mpwa unataka kutuambia Manka wa TipTop ndo inakula kwake mazima?
Afu na wewe ndo nini sasa?etiiii????
Hopefully kakako sio mtu wa mabinti....lol...
Kuna vimwana vipya tokea Mbulu lakini hamna uzao wako. Labda uviwezeshe vinone kiaina.Hahaha amechuja mpwa nahamisha majeshi pale Zero pub vp usajili mpya?
Love is honesty, being faithful, and trusting them to go the same, these are 3 main things at least, Love is not an emotion it only works the emotions. That's how it tricks you. Its harder to love someone than you think as well. Somethings can be forgiven, some cant.
Ndio ashadii, point zako ziko mulemule aisee, yaani unaweza hata kupungua uzito hasa pale unapopenda kwanza kabla muhusika hajawa na wewe, hapo ndipo utakapoamini kuwa kweli "mapenzi yanarun dunia" sasa cha ajabu unaweza pitia kipindi kigumu kabla ya kuwa na muhusika once ukiwa nae wengi wanarudi normal na wengine hadi kujiuliza "mbona sio vile nilivokuwa naota na kuwazia?
yote hayo ni juu ya mapenzi
etiiii????
Hahahaha Zero pub tumekamata wote, hupati kitu, we muulize ODM!Hahaha amechuja mpwa nahamisha majeshi pale Zero pub vp usajili mpya?
Dont tell me hauko in love with me enimoAfu na wewe ndo nini sasa?