Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

I have noted with a smile your discussion with AshaDii and I am sad that i can't follow you on PMs, coz I sort of 'feel' the same ingawa sina ushahidi. lol

You sort of feel the same huh? Bahati yako umesema huna ushahidi...lol
 
Hujambo Asha?
Ahsante kwa uzi mnono.
Mimi ya kwangu ni matatu:
1. NyaniNgabu wala asikukondeshe.Kutokana na machapisho yake,ni kweli when it comes to matters love ni eccentirc.Nitakupa mfano,Nyani yeye huwa anasisitiza kwamba akiwa katika mahusiano akisikia tu harufu ya cheating she is OUT,we uliona wapi hiyo? Kawaida katika mapenzi kuna kukoseana na kusameheana ati,that is the norm,position yake ni eccentrism.
2. Chondechonde nakuomba ubandike ile avatar niliyokuomba,angalau for a week or so!
3. Bahati mbaya mimi ni mbumbumbu wa kompyuta,naomba utubandikie ule wimbo wa JD ule wa .....'usiusemee moyo'....
Jioni njema,naelekea kaunta,karibu,leo nitakuwa Haika bar,kinondoni, wana mishikaki mizuri pale.
 
Hujambo Asha?
Ahsante kwa uzi mnono.
Mimi ya kwangu ni matatu:
1. NyaniNgabu wala asikukondeshe.Kutokana na machapisho yake,ni kweli when it comes to matters love ni eccentirc.Nitakupa mfano,Nyani yeye huwa anasisitiza kwamba akiwa katika mahusiano akisikia tu harufu ya cheating she is OUT,we uliona wapi hiyo? Kawaida katika mapenzi kuna kukoseana na kusameheana ati,that is the norm,position yake ni eccentrism.

That is a standard and not an eccentric. I just happen to have high standards and I refuse to put up with any kind of shit.

Why be with someone who deprives you of your happiness and peace of mind? Not I. I am not that desperate to hang on to someone like that. Never have and never will.

Yes, I too, believe in forgiveness. But there are some things that are just not forgivable in my book. Now, if that is eccentric then so be it. But I am never bashful about expressing my stances and in my objective opinion that is not eccentric.
 
That is a standard and not an eccentric. I just happen to have high standards and I refuse to put up with any kind of shit.

Why be with someone who deprives you of your happiness and peace of mind? Not I. I am not that desperate to hang on to someone like that. Never have and never will.

Yes, I too, believe in forgiveness. But there are some things that are just not forgivable in my book. Now, if that is eccentric then so be it. But I am never bashful about expressing my stances and in my objective opinion that is not eccentric.

Mkuu hako ka red hako,hicho ni kielelezo dhahir bin dahar cha eccentrism,jaribu kuitafuta middle ground Mkuu,hata katika matters love.
 
Mkuu hako ka red hako,hicho ni kielelezo dhahir bin dahar cha eccentrism,jaribu kuitafuta middle ground Mkuu,hata katika matters love.

Nimeweka bayana kabisa...hakuna discussion wala compromise kwenye cheating. Never. Kama mtu huwezi kuwa mwaminifu kwangu kwa asilimia 110 then kiss the relationship goodbye. That is not eccentric. That is knowing what you stand for and what you want.
 
Hii huwa inapagawisha sana, mbaya mdomo uwe zege afu ni mfanyakazi mwenzio. Basi wenzio wanakushangaa mbona walowesha kwapa kama una kisukari?
Umependa wewe kwa ajili yako na wala sio wengine watasema nini.
Wewe bakia na ukweli kuwa mapenzi kipofu, ukipenda chongo, apendae hachagui...uwawache watu na blah blah blah zao.
 
Umependa wewe kwa ajili yako na wala sio wengine watasema nini.
Wewe bakia na ukweli kuwa mapenzi kipofu, ukipenda chongo, apendae hachagui...uwawache watu na blah blah blah zao.

Hivi unadhani hata wakisema unajali wala kusikia? Inakuwa kama umevaa miwani ya mbao, unamaliza kunywa chai unapeleka kikombe chooni, unajistukia na kurudi kimya kimya. Unadelete payrol ya kampuni nzima bahati kuna back up system. Haya mambo msiyaseme kirahisi ivo.
 
duh.. Hapo ka ukijua haupo peke yako. Dingi anakula, madogo pia wanaponea hapo.
Chunguza kwanini madogo wakija likizo huwa wanapaka bawaba za mlango wa bek3 mafuta....



Hii post imenichekesha mpaka basi.....lol... Nami niligusia hilo suala kwa Fidel.....
 
I have noted with a smile your discussion with AshaDii and I am sad that i can't follow you on PMs, coz I sort of 'feel' the same ingawa sina ushahidi. lol


Dah! at least you are off the hook! lol... So clever of you....
 
Hujambo Asha?
Ahsante kwa uzi mnono.
Mimi ya kwangu ni matatu:
1. NyaniNgabu wala asikukondeshe.Kutokana na machapisho yake,ni kweli when it comes to matters love ni eccentirc.Nitakupa mfano,Nyani yeye huwa anasisitiza kwamba akiwa katika mahusiano akisikia tu harufu ya cheating she is OUT,we uliona wapi hiyo? Kawaida katika mapenzi kuna kukoseana na kusameheana ati,that is the norm,position yake ni eccentrism.
2. Chondechonde nakuomba ubandike ile avatar niliyokuomba,angalau for a week or so!
3. Bahati mbaya mimi ni mbumbumbu wa kompyuta,naomba utubandikie ule wimbo wa JD ule wa .....'usiusemee moyo'....
Jioni njema,naelekea kaunta,karibu,leo nitakuwa Haika bar,kinondoni, wana mishikaki mizuri pale.



Habari yako B'... Umeng'angania ile avatar balaaa.... In courtesy ya hii post uloandika hapa ambayo ni so useful naweka Avatar ile only for the nite... Hopefully umeridhika na hapo Haika Bar cm yako ime na PC mode uweze ona... For nikiitoa sirudishi tena.....
 
Hujambo Asha?
Ahsante kwa uzi mnono.
Mimi ya kwangu ni matatu:
1. NyaniNgabu wala asikukondeshe.Kutokana na machapisho yake,ni kweli when it comes to matters love ni eccentirc.Nitakupa mfano,Nyani yeye huwa anasisitiza kwamba akiwa katika mahusiano akisikia tu harufu ya cheating she is OUT,we uliona wapi hiyo? Kawaida katika mapenzi kuna kukoseana na kusameheana ati,that is the norm,position yake ni eccentrism.
2. Chondechonde nakuomba ubandike ile avatar niliyokuomba,angalau for a week or so!
3. Bahati mbaya mimi ni mbumbumbu wa kompyuta,naomba utubandikie ule wimbo wa JD ule wa .....'usiusemee moyo'....
Jioni njema,naelekea kaunta,karibu,leo nitakuwa Haika bar,kinondoni, wana mishikaki mizuri pale.

Sorry,out of topic.....Bishanga jamani nilikumisoo ile mbaya ulikua wapi wewe???huwa nikisoma post zako nacheka sanaaa. Enjoy ur kinywaji.
 
Hii post imenichekesha mpaka basi.....lol... Nami niligusia hilo suala kwa Fidel.....

we kwani hujui bek3 anatembeaga na nyumba nzima?
Yani uki fall kwa bek3 wa nyumbani ujue wadogo/kaka zako wanapona hapo hapo. Waulize wadau kama si kweli wanapakaga milango ya bek3 mafuta ili isitoe sauti night wakati wakinyatia kwenda kula mzigo.
 


Habari wapenzi woote wa hapa JF… Hopefully weekend hii ndefu na Eid ilikua pouwa... Hii thread ni a dedication kwa yalowakuta....lol... Enways....


Naomba observe closely vipengele hivi kumi (10) vifuatavo…. Alafu baada ya hapo utaona na kufuata maelekezo hapo chini ili uweze kutupatia jibu – Zingatia kua mara nyingi hii ni kwa ile newly discovered and founded LOVE….. Thou to baadhi ya Lucky ones yawezekana hata ulonae mda Mrefu kukuweka katika baadhi ya hivo vipengele..
  1. Je unatabasamu kila saa bila sababu za msingi (in relation na mahala uliopo) i.e popote pale watabasamu…. Tabasamu kubwaaaa! Bila kujali uko wapi, umezungukwa na nani ama nini unafanya…. For instance mwingine aweza tabasaamu hata yupo uani yaani ile involuntary!
  2. Are you mumming kila saa ama mara kwa mara?? Unakuta kila mara yaani wee unajisikia kuimba; kawimbo Fulani Fulani kanakutawala mara kwa mara akilini, moyoni hadi mdomoni… Hako ka music ni from nowhere but kako stuck in your heart and brain!
  3. Roho inadunda with anticipation kila ukimuona mhusika…. Ama ukahisi his/her presence bila hata kugeuka kumuona.. ama ukiona kitu chake chochote ambacho kinakukumbusha the person in question… Yaani in short lazima mapigo ya moyo yabadilike anapokua karibu ama ukijua karibu atakua karibu…
  4. Huna raha usipomuona mda mrefu… hasa kama hujui ni wakati gani utamuona… Maana the good thing ya kujua wakati gani utamuona hata kama hayupo ni kwamba at least you have days/hours/minutes to count ukimsubiria kwa hamu na uvumilivu…..
  5. Je morali ya kufanya kazi imepungua?? Kazi unaona sasa ni mzigo… na ile siku zoote ilikua ni rahisi kwako unaona kama vile kubwaaa, nzito na yakuzingua tu! Hata ujitahidi kujituma ufanya mapema na within your deadline limits – bado kwako ni mtihani kumaliza hio kazi (labda tu on the condition ni lazima uimalize na una matumaini ya kumuona muhusika mda Fulani nje ya eneo la kazi); Na wakati mwingine kati kati ya kazi wajikuta umeduwaa mpaka wewe mwenyewe sometimes unajishtukia – then unaendelea na kazi kama kawa…. Thou kwa kujisukuma..
  6. Ukisikia jina lake ni lazima ushtuke!! Na utake kujua ni nini wanamuongelea huyo mhusika…. Beta yet unakuta watu wanamazungumzo yao hata kama nawe upo/haupo katka hayo mazungumzo unatafuta sababu yoyote ile ya kuingizia jina lake ama story yoyote ambayo mhusika yupo, ili tu upate excuse ya kumuongelea…. Maana ndo furaha yako, na ole wake atakae ongelea negative…. Hapo hapo anakua adui in a cold war mode…..
  7. Ukijua tu kua unaonana nae… ama atapita maeneo uliopo unahakikisha kua uko presentable… yaani kimavazi na muonekano, lazima utataka ujiangalie kwenye kioo ili tu kuhakikisha sura yako inaonekana pouwa (as if itakua imebadilika…lol) … Kama hutaki walo kuzunguka wakushtukie waweza jimwagia hata kinywaji makusudi, yaani ili mradi upate sababu ya kunyanyuka kwenda kujipanga uvutie pale wewe utaporidhika kua yastahili...
  8. Are you forever thinking about yaweza kuwaje kataka maswala ambayo ni related na faragha… i.e Kissing… touching… the naked body… na the like?? Yaani sometimes iko worse mpaka waweza pata wet dreams (saa ingine bila hata dreaming as in the imagination pekee ya kupeleka&#8230😉 unahisi kabisa kua upo nae or that umefanikiwa kabisa kwenda third base na it was Great!
  9. Upo katika a more peaceful mood?? Mtu yeyote wa karibu nawe akikuudhi unaona sawa tu (hasa kama wee ni short temper) But hasira zoote zimeisha kabisa. Mtu kukuudhi afanye kazi ya ziada na hata ukiudhiwa wee mara moja unasamehe… Huna hiana…. Maisha kwako ni mazuri na hayatakiwi yachafuliwe kwa hasira…. After all you are happy and content…
  10. You feel like you are no longer you… you feel lost… you feel helpless… hasa ukijua na kuhakikishiwa kua kile ambacho unataka kiwe kwa mhusika…. Yaani hayo mahusiano you are dreaming of….. Hayawezekani!

Katika the above ten, kama umeobserve kwa Makini na Umeelewa na the answer is "YES" to all or not less than seven atleast…. Then rafiki…. Please do declare to us Members kwamba "I think I am in LOVE" and Thank God it's Eid!
(Na kama ushawahi pitia hio phase, at least you were in Love once…..)

Naamini kabisa kuna mengi nimeacha hivo nitaomba members wenzangu wanisaidie kwa kuongeza mengine na kujadili niloweka hapa kama mwakubaliana nayo ama Lah!


Pamoja Saaana

AshaDii.



(I love this Love related quote)
"I have loved to the point of Madness,
That which is called madness,
That which to me is the only sensible way to Love" – F. Sagan.

Ujumbe mzito sana. Tatizo AshaDii, wengine mioyo yetu imeshakuwa butu, na haina real feelings tena kama zamani!
 
Sorry,out of topic.....Bishanga jamani nilikumisoo ile mbaya ulikua wapi wewe???huwa nikisoma post zako nacheka sanaaa. Enjoy ur kinywaji.


Mama Tuli at the time being B' yupo peke yake you know? Alafu na wewe ni broken hearted...lol... You see what i mean??
 
we kwani hujui bek3 anatembeaga na nyumba nzima?
Yani uki fall kwa bek3 wa nyumbani ujue wadogo/kaka zako wanapona hapo hapo. Waulize wadau kama si kweli wanapakaga milango ya bek3 mafuta ili isitoe sauti night wakati wakinyatia kwenda kula mzigo.


Kweli kabisa sijawahi fikiria in those terms... asante kwa kunifungua macho.... Yaani nasikitika tu sidhani kama hua wanatumia ndoms....
 
Habari yako B'... Umeng'angania ile avatar balaaa.... In courtesy ya hii post uloandika hapa ambayo ni so useful naweka Avatar ile only for the nite... Hopefully umeridhika na hapo Haika Bar cm yako ime na PC mode uweze ona... For nikiitoa sirudishi tena.....
habari yangu mbaya,niko chinga tayari,leo napiga valuu (ooops usimwambie Dena!),sasa haka kasmsung ka nokia kataona vipi hiyo avatar? embu iache ikae angalau masaa 48 iniliwaze,it looks familiar to someone i fondly remember!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom