makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,507
- 82,207
Mzigo wa milioni 3.8 kuuza mwaka mzima, tatizo limeanzia hapo, huo mzigo haupaswi kufika hata miezi mi3 uwe ushaisha unaingiza mwingine.
Maybe tunapigwa wengi hasa kwenye makadirio yaoMkuu labda Wana kubana wewe tu, Kuna kipengele Cha majaribio kwa miezi 6.
👉Nime shuhudia Mara nyingi wana ambulia patupu, ikiwemo yangu mwenyewe.
Kijijini kwa biashara hapafai. Labda uende sehemu za machimboni au vijiji maarufu kwa kilimo cha mazao ya biashara. Ila hivi vijiji vya kawaida watu wanajilimia kwa ajili ya msosi ni pagumu sana.Pia Mzunguko wa hela kule ni mdogo tofauti na huku town.
Imagine DSM hapa fedha inayozunguka Kwa Siku ni zaidi ya 35B Kwa mujibu wa ripoti ya BoT ya Mwaka 2017 so hopefully kwasasa Mzunguko unaweza kufikia 200B na zaidi
Nadhani wewe unge-focus kwenye comments zingine. Ukiwa mtu wa kuhamishwa kimawazo kirahisi biashara hutaweza mkuu.Mkuu hili jukwaa la biashara sio jukwaa la lugha, kuna wadau wanakosea vitu vidogo vidogo kwenye kuandika ila huwa wanaleta madini safi sana humu,
Bado inatakiwa elimu kubwa sana ya kodi.Kawaida makadirio ya tra unajikadiria mwenyewe Ila Kama unaweka kumbukumbu Kama zako hawawezi kukulazisha ulipe hicho wanachotaka, huwezi.kulipa Kodi zaidi ya unachopata.
wengi Wana jipelekaga kizembe, napenda kutembelea wafanyabiashara.Maybe tunapigwa wengi hasa kwenye makadirio yao
Mimi niliandikiwa na tra kulipa 100k kwa mwaka yaani biashara nilipoianza Tu, sijui hata itakuwa na uchangamfu UPI kwakweli nilijieleza kuwa ndo naanza na eneo nililokuwapo halina mzunguko wa watu kwa Aina ya biashara Ile niliishia kukosa fedha za Kodi kulipa tra kwa miaka mitatu.Kwa hayo mahesabu unakubalije kuwalipa tra 250000. Tra unawalipa kutokana na biashara ilivyo. Mambo ya msiba usiyaingize kwenye biashara.
Kuna Kitu kinamiss kwenye Hesabu zako.Rudia Tena maelezo.Huo Mzigo wa Milion 3.8 ni manunuzi uliyofanya jumla mwaka mzima?na Je Hiyo Milioni 8.2 ni mauzo uliyofanya Jumla Mwaka mzima?Ni hesabu nilizopiga katika duka langu dogo nililoweka binti wa kazi mwaka jana, Nimehitimisha biashara ilikuwa inapiga nondo / kujitekenya / BREAK EVEN.
Biashara hii mzigo wa dukani sio wangu hadi pale tu nitapouza, nisipouza naweza kuurudisha, mzigo ukiisha naenda kuchukua mwengine, hivyo sina closing stock
Siku ya jumapili duka hufungwa hivyo kwa mwaka zinabaki siku 261, kuna siku 8 nje ya jumapili binti hakufika, hivyo duka lilifunguliwa kwa siku 253 .
thamani ya mzigo kwa bei niliyouza 8,245,000
thamani ya mzigo kwa bei niliyojumlia 3,867,000
FAIDA YA MZIGO BILA GHARAMA 4,378,000
GHARAMA ZA BIASHARA KWA MWAKA
Frem (laki 1 na nusu miezi 12) - 1,800,000
mshara 100,000 miez 12 - 1,200,000
chakula+usafiri+choo, elf 3@siku -759,000
tra kodi - 250,000 (haikuwa fair kabisa)
jiji, ulinzi, taka - 18,000
misiba, waombaji - 27,000
umeme - 71,000
leseni - 80,000
JUMLA YA GHARAMA - 4,205,000
FAIDA YA MZIGO - GHARAMA ZA BIASHARA = 173,000
Na Hapo niliwakwepa Fire na Service Levy, wangenitoza ningeambulia Sifuri au hasara
Kwani ww unataka uwalipe hao TRA kiasi gn?Mimi niliandikiwa na tra kulipa 100k kwa mwaka yaani biashara nilipoianza Tu, sijui hata itakuwa na uchangamfu UPI kwakweli nilijieleza kuwa ndo naanza na eneo nililokuwapo halina mzunguko wa watu kwa Aina ya biashara Ile niliishia kukosa fedha za Kodi kulipa tra kwa miaka mitatu.
Sasa nalipia nini tra wakati biashara unakaa ofsini unasubiri wateja hata mwezi mzima huoni mteja?!, mwezi unaofata unapata mteja mmoja au wawili haupati tena yaani nikifunga hesabu ya mwaka mzima nimeambulia chini ya laki moja kwa mwaka.
A
Nasema uhalisia lakini tra hawajui biashara wao ni kupanga Tu ovyo. Kilichonifanya nianzie tra ni kwamba niliwahi ifanyia hiyo biashara mkoa mwingine na ilikuwa vyema ila niliicha baadae na kufanya mambo mengine sasa Hali ilivyokuwa ngumu nilizama tena kwenye hiyo biashara mkoa mwingine sikuwa na mtaji Wa kuiiweka mjini ila ndo hivyo.
Bado sijaripoti tra sijui nitawaelezaje ushauri 😀
Ni kweliHii nchi kujitetea ni ngumu sana mkuu, wenye mamlaka wana authority kubwa sana.
Huko Tra labda ukutane na mtumishi muadilifu ama mtu mnaejuana, vinginevyo tegemea lolote
Mimi walilazimishaKawaida makadirio ya tra unajikadiria mwenyewe Ila Kama unaweka kumbukumbu Kama zako hawawezi kukulazisha ulipe hicho wanachotaka, huwezi.kulipa Kodi zaidi ya unachopata.
Mkuu mnafanyaje tathmini Bila kuingia kwenye biashara yaani nadharia au hisia embu nifafanulie maana Niko kwa njia pandaAbsolutely Sir
Ni vyema kabla hujaingia sokoni ufanye tathmini ya kina vinginevyo unaweza Kuta unaenda kupoteza Mtaji wako
Nataka kuwalipa kulingana na ninchopata yaani walau kuwepo percent flani sio kukadiria pesa ambayo hautopata utawala nini?Kwani ww unataka uwalipe hao TRA kiasi gn?
Inashangaza sana kwakweliKwa hayo mahesabu unakubalije kuwalipa tra 250000. Tra unawalipa kutokana na biashara ilivyo. Mambo ya msiba usiyaingize kwenye biashara.
Tathmini inafanyika Kwa kuingia sokoni na kuangalia ni biashara ipi ina wateja na inaweza kutoka Kwa urahisi.Mkuu mnafanyaje tathmini Bila kuingia kwenye biashara yaani nadharia au hisia embu nifafanulie maana Niko kwa njia panda
Kuna la kujifunza kwako, ukiwa mzembe unaweza Kuta unawanufaisha Tiaraei 😅wengi Wana jipelekaga kizembe, napenda kutembelea wafanyabiashara.
👉Wana nipa loop hole baadhi