MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,090
- 22,365
Tatizo la bush ni uchache wa wateja. Pia ikifika msimu wa kilimo huko bush ni njaa tupuK
Kufanya biashara mjini shida ndio maana mm ufanya biashara zangu bushi ujenga town ata kodi sitozwi kama utitiri uwo. In short kodi Tanzania zipo town tu.