Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Ni hesabu nilizopiga katika duka langu dogo nililoweka binti wa kazi mwaka jana, Nimehitimisha biashara ilikuwa inapiga nondo / kujitekenya / BREAK EVEN.

Biashara hii mzigo wa dukani sio wangu hadi pale tu nitapouza, nisipouza naweza kuurudisha, mzigo ukiisha naenda kuchukua mwengine, hivyo sina closing stock

Siku ya jumapili duka hufungwa hivyo kwa mwaka zinabaki siku 261, kuna siku 8 nje ya jumapili binti hakufika, hivyo duka lilifunguliwa kwa siku 253 .

thamani ya mzigo kwa bei niliyouza 8,245,000
thamani ya mzigo kwa bei niliyojumlia 3,867,000
FAIDA YA MZIGO BILA GHARAMA 4,378,000

GHARAMA ZA BIASHARA KWA MWAKA
Frem (laki 1 na nusu miezi 12) - 1,800,000
mshara 100,000 miez 12 - 1,200,000
chakula+usafiri+choo, elf 3@siku -759,000
tra kodi - 250,000 (haikuwa fair kabisa)
jiji, ulinzi, taka - 18,000
misiba, waombaji - 27,000
umeme - 71,000
leseni - 80,000
JUMLA YA GHARAMA - 4,205,000

FAIDA YA MZIGO - GHARAMA ZA BIASHARA = 173,000

Na Hapo niliwakwepa Fire na Service Levy, wangenitoza ningeambulia Sifuri au hasara
 
Ni hesabu nilizopiga katika duka langu dogo nililoweka binti wa kazi mwaka jana,

thamani ya mzigo kwa bei niliyouza 8,245,000
thamani ya mzigo kwa bei niliyojumlia 3,867,000
FAIDA YA MZIGO KABLA YA GHARAMA ZA BIASHARA 4,378,000

GHARAMA ZA BIASHARA KWA MWAKA
Frem (laki 1 na nusu miezi 12) - 1,800,000
mshara 100,000 miez 12 - 1,200,000
chai, usafiri, choo, chakula elf 3 siku 253 - 759,000
tra kodi - 250,000
jiji, ulinzi, taka - 18,000
misiba, waombaji - 27,000
umeme - 71,000
leseni - 80,000
JUMLA YA GHARAMA - 4,205,000

FAIDA YA MZIGO - GHARAMA ZA BIASHARA = 173,000
Mkuu, hii biashara ndo uliaza mwaka jana au ni ya mda mrefu.. 🤔
 
Biashara hizi ndogo ndogo zenye mtaji wa chini ya 10M kusavaivu ndani miaka mitatu ni ngumu sana mwaka jana nami nilifunga duka baadaya ya kutoona faida kutokana na gharama kubwa ya uendeshaji kwa mfano
1. Tra 250,000
2. Leseni jiji 200,000(phones and accessories)
3. Kodi jengo (150,000*12)=1,800,000
4. Umeme (10,000*12)=120,000
5. Afu kuna hawa jamaa wa fire niliwakataa
6. Posho ya mfanyakazi (100,000*12)=1,200,000
7.ulinzi (10,000*12) =120,000
8. Usafi na mengineyo=100,000
9. Service levy( hapa niligoma kabsa kutoa) wakatisha kufunga biashara wakanipa control number kwa lazima ila sikulipa

Kwa gharama Hizi kutoboa ni ngumu sana aisee bora niendelee kuajiliwa ila biashara ni big no kabsa
 
Hii ni moja ya sababu ya "Wafanyabiashara wadogo" wengi kuhamia kwenye online platform kujitangaza na kuuza bidhaa zao, mzigo anahifadhi stoo/Nyumbani.
Ni kweli kabisa online marketing inasaidia sana, somo dogo nililopata form 6 topic ya advertising ni kwamba inasaidia kuwajuza watu wasiojua, Kukumbusha watu wanaojua na kuwashawishi wanunue
 
Biashara hizi ndogo ndogo zenye mtaji wa chini ya 10M kusavaivu ndani miaka mitatu ni ngumu sana mwaka jana nami nilifunga duka baadaya ya kutoona faida kutokana na gharama kubwa ya uendeshaji kwa mfano
1. Tra 250,000
2. Leseni jiji 200,000(phones and accessories)
3. Kodi jengo (150,000*12)=1,800,000
4. Umeme (10,000*12)=180,000
5. Afu kuna hawa jamaa wa fire niliwakataa
6. Posho ya mfanyakazi (100,000*12)=1,200,000
7.ulinzi (10,000*12) =120,000
8. Usafi na mengineyo=100,000
9. Service levy( hapa niligoma kabsa kutoa) wakatisha kufunga biashara wakanipa control number kwa lazima ila sikulipa

Kwa gharama Hizi kutoboa ni ngumu sana aisee bora niendelee kuajiliwa ila biashara ni big no kabsa
ulikuwa unatoa laki 1 ya mfanyakazi mshahara tu ama kulikuwa na allowance ya chakula ya kila siku ?
 
Biashara hizi ndogo ndogo zenye mtaji wa chini ya 10M kusavaivu ndani miaka mitatu ni ngumu sana mwaka jana nami nilifunga duka baadaya ya kutoona faida kutokana na gharama kubwa ya uendeshaji kwa mfano
1. Tra 250,000
2. Leseni jiji 200,000(phones and accessories)
3. Kodi jengo (150,000*12)=1,800,000
4. Umeme (10,000*12)=180,000
5. Afu kuna hawa jamaa wa fire niliwakataa
6. Posho ya mfanyakazi (100,000*12)=1,200,000
7.ulinzi (10,000*12) =120,000
8. Usafi na mengineyo=100,000
9. Service levy( hapa niligoma kabsa kutoa) wakatisha kufunga biashara wakanipa control number kwa lazima ila sikulipa

Kwa gharama Hizi kutoboa ni ngumu sana aisee bora niendelee kuajiliwa ila biashara ni big no kabsa
Kama umefunga biashara wajulishe TRA na Manispaa ili kuepusha matatizo baadae. Wajulishe kwa maandishi
 
Back
Top Bottom