Nitafute binamu....Sasa unataka kila anaeoa aweke mabango? Halafu unanipenda eeh. Naona umeniweka mfano wa wanawake wa Tanzania kwanini hawaolewi.
Na nyie kaka zetu mjiulize kwanini dada zenu wanaolewa nje na sio kuolewa na nyie. Hii ni two way traffic msijisahaulishe
Sawa binamuNitafute binamu....
Poa....Sawa binamu
Tupe mkuu ucsahau kuntag....wanataka waolewe na wenye degree.......lkn nashangaa hao vijana wa degree wako wengi tu mtaani nao hao hawataki kuwaoa hawa wadada....hahahahahaaaaaa.
Kuna kastori natamani niwasimulie kuhusu hii inshu wadada kutokuelewa ....hahahahaaaa ni true story
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] usiwe nyumba ndogo banaNi kweli ila kwahiyo akisema hatuolewi wote ajue haiwezekani wote tuolewe wengine inatosha kuwa nyumba ndogo za watu
ajabu utadhani sie wengine tumeolewa na majini dadaIngekuwa hivyo angeeleweka tu sasa yeye kajumisha wanawake wote kitu ambacho sio.
mmh hata sio kweli labda hao wa instagram88% ya dada zetu wadangaji
Let hiyo storywanataka waolewe na wenye degree.......lkn nashangaa hao vijana wa degree wako wengi tu mtaani nao hao hawataki kuwaoa hawa wadada....hahahahahaaaaaa.
Kuna kastori natamani niwasimulie kuhusu hii inshu wadada kutokuelewa ....hahahahaaaa ni true story
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa wema ni dada yake.Kwahiyo hawa wasukuma tulio waoa sisi sio dada zako wa Kitanzania? Au dada zako unamanisha ni akina Wema, Kajala, Joketi na Nandy?
Bora hata hao wanaonesha tabia zao waziwazi wanakusaidia kwenda kuoa uganda, kuliko wale wanaoficha tabia zao ksiha unaoa halafu wanakufrustrate....Mbona watu wengi sana (nowadays) hawaoi hapa kwetu wanaenda nchi zingine? Mnashida gani hebu tuambieni sisi wanaume then naona kwa binafsi yangu kama mpo (too selective)?
Wengi mnatukana sana matusi Instagram, ushabiki kwa udaku udaku tuu, hakuna tabia kama ya wanawake kama Zari mfano sio muongeaji yupo kimya kupiga pesa, haya huyu wa AY nae hana hayo, tazama sasa Kiba nae kaenda kuoa Kenya.
Nasikitika sana kuwaona mnatumika tuu, miss Sepetu anadanga tuu, Penny nae alitumika, kina Shishi wanaishia kuforce vindoa visivyorasmi, haya kwa Ndikumana nadhani napo mnaona hali ilivyo, haya angalieni pia kwa Wolper hali hiyo hiyo tuu.
Nilitegemea muwe mfano kwa wanawake wote Tanzania na kuhamasishana sio kwa mwanamke star au wakawaida mgekuwa na Tabia njema.
Igeni basi hata kwa Zamaradi ni mwanamke anaejielewa sana pamoja na kuachika ktk ndoa yake ya awali still kasimama hadangi huku na huku kaolewa katulia anatafuta pesa tuu.
Kuna jambo naliwaza sana tatizo lenu sijui elimu kichwani ni shida au nini?
Uwongo mbaya wanawake wa Tanzania ni wazuri sana maumbo yao, muonekano kadhalika tabia baadhi ila kwanini hamuolewi?
Hebu mfano humu JF wa kina Demiss, Mzigua90 na wengine wengi angalia post zao then ufikirie ni aina gani ya wanawake tulio nao na tabia zao hapa Tz.
Nimalizie kwa kusema mbadilike kaka zenu tunaumia sana.
View attachment 749766