Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,946
- 183,409
We mbona wanaume wenzio wanaoa alafu unaumia wewe, ndio omekaa poa kiafrika hiyo?Kwa mwanamke kuwa na tabia Mbaya na kujifananisha na mwanaume haijakaa poa kiafrica yani
We mbona wanaume wenzio wanaoa alafu unaumia wewe, ndio omekaa poa kiafrika hiyo?Kwa mwanamke kuwa na tabia Mbaya na kujifananisha na mwanaume haijakaa poa kiafrica yani
Hahahaa! Hapo ninacheka.Asante. Sasa unacheka au unalia hapo kwenye avatar?
Nakupenda pia mkuuNakupendaje mzigua mamy sio kwa jiwe hilo
Mi nina harusi tano mpaka July. Sijui kuanzia July wangapi watakuja tena wachangiweHeee nina kadi kadhaa hapa za harusi..
Haya ni madhara ya fallacy of generalization
Aah watu wakikosa wake wa kuoa wanajiraji namna hii..Mi nina harusi tano mpaka July. Sijui kuanzia July wangapi watakuja tena wachangiwe
[emoji23][emoji23]Aah watu wakikosa wake wa kuoa wanajiraji namna hii..
Sasa unataka kila anaeoa aweke mabango? Halafu unanipenda eeh. Naona umeniweka mfano wa wanawake wa Tanzania kwanini hawaolewi.
Na nyie kaka zetu mjiulize kwanini dada zenu wanaolewa nje na sio kuolewa na nyie. Hii ni two way traffic msijisahaulishe
Sio povu jamaniHahaha povuuu
We single maza umebahatika kuolewa?Sasa unataka kila anaeoa aweke mabango? Halafu unanipenda eeh. Naona umeniweka mfano wa wanawake wa Tanzania kwanini hawaolewi.
Na nyie kaka zetu mjiulize kwanini dada zenu wanaolewa nje na sio kuolewa na nyie. Hii ni two way traffic msijisahaulishe
Wataolewa vipi wakati akipata mwaume anamfanya Kama etm mashine, anataka ahamishie shida za ukoo wao kwako zote.Mbona watu wengi sana (nowadays) hawaoi hapa kwetu wanaenda nchi zingine? Mnashida gani hebu tuambieni sisi wanaume then naona kwa binafsi yangu kama mpo (too selective)?
Wengi mnatukana sana matusi Instagram, ushabiki kwa udaku udaku tuu, hakuna tabia kama ya wanawake kama Zari mfano sio muongeaji yupo kimya kupiga pesa, haya huyu wa AY nae hana hayo, tazama sasa Kiba nae kaenda kuoa Kenya.
Nasikitika sana kuwaona mnatumika tuu, miss Sepetu anadanga tuu, Penny nae alitumika, kina Shishi wanaishia kuforce vindoa visivyorasmi, haya kwa Ndikumana nadhani napo mnaona hali ilivyo, haya angalieni pia kwa Wolper hali hiyo hiyo tuu.
Nilitegemea muwe mfano kwa wanawake wote Tanzania na kuhamasishana sio kwa mwanamke star au wakawaida mgekuwa na Tabia njema.
Igeni basi hata kwa Zamaradi ni mwanamke anaejielewa sana pamoja na kuachika ktk ndoa yake ya awali still kasimama hadangi huku na huku kaolewa katulia anatafuta pesa tuu.
Kuna jambo naliwaza sana tatizo lenu sijui elimu kichwani ni shida au nini?
Uwongo mbaya wanawake wa Tanzania ni wazuri sana maumbo yao, muonekano kadhalika tabia baadhi ila kwanini hamuolewi?
Hebu mfano humu JF wa kina Demiss, Mzigua90 na wengine wengi angalia post zao then ufikirie ni aina gani ya wanawake tulio nao na tabia zao hapa Tz.
Nimalizie kwa kusema mbadilike kaka zenu tunaumia sana.
View attachment 749766
Ni sababu nyingine mwanaume huwa anaumizwa na wanawake hawajui tuu hakunaga kitu kinachukiza kama mwanamke mpenda pesa hapo ni shida kidogoWataolewa vipi wakati akipata mwaume anamfanya Kama etm mashine, anataka ahamishie shida za ukoo wao kwako zote.