Dada zetu Tanzania mbona hamuolewi?

Dada zetu Tanzania mbona hamuolewi?

Mbona watu wengi sana nowadays hawaoi hapa kwetu wanaenda nchi zingine? Mnashida gani hebu tuambieni sisi wanaume then naona kwa binafsi yangu kama mpo too selective? Wengi mnatukana sana matusi Instagram, ushabiki kwa udaku udaku tuu, hakuna tabia kama ya wanawake kama Zari mfano sio muongeaji yupo kimya kupiga pesa, haya huyu wa AY nae hana hayo, tazama sasa Kiba nae kaenda kuoa Kenya. Nasikitika sana kuwaona mnatumika tuu, miss Sepetu anadanga tuu, Penny nae alitumika, kina Shishi wanaishia kuforce vindoa visivyorasmi, haya kwa ndikumana nadhani napo mnaona hali ilivyo, haya angalieni pia kwa Wolper hali hiyo hiyo tuu. Nilitegemea muwe mfano kwa wanawake wotee Tanzania na kuhamasishana sio kwa mwanamke star au wakawaida mgekuwa na Tabia njema. Igeni basi hata kwa Zamaradi ni mwanamke anaejielewa sana pamoja na kuachika ktk ndoa yake ya awali still kasimama hadangi huku na huku kaolewa katulia anatafuta pesa tuu.
Kuna jambo naliwaza sana tatizo lenu sijui ELIMU kichwani ni shida au nini? Uwongo Mbaya wanawake wa Tanzania ni wazuri sana maumbo yao, muonekano kadhalika Tabia baadhi ila kwa nini hamuolewi? Hebu mfano humu jf wa kina Demiss, Mzigua90, na wengine wengi angalia post zao then ufikirie ni aina gani ya wanawake tulio nao na tabia zao hapa Tz. Nimalizie kwa kusema Mbadirike kaka zenu tunaumia sana.View attachment 749766
Waache waendelee kupost makalio huko insta
 
wanataka waolewe na wenye degree.......lkn nashangaa hao vijana wa degree wako wengi tu mtaani nao hao hawataki kuwaoa hawa wadada....hahahahahaaaaaa.

Kuna kastori natamani niwasimulie kuhusu hii inshu wadada kutokuelewa ....hahahahaaaa ni true story
Unasahau kwamba humu tunthubutu kuongea wazi hem leta mafunzu hayo acha uvivu
 
Hahahaha, muda mwingine ukiwa unang'ata na kupuliza lazima kujiongeza unaweka na kipengere kitakachokulinda.
Hahahaaa. Nimeona kabisa.

Halafu Kaka mi nakutetea kule we hata huji si ukisema kuna sifa unazo.
 
Ukiwatazama account zao za fb, insta na kwingine huwezi kuoa kabisa.

Wamewekeza uchafu wa kwenye mitandao sana kuliko kuwekeza kwenye maadili mema.

Dada zetu wanaolewa sana tu ila changamoto kubwa, hawadumu sana ndoani.
Ndoa zinafungwa kila kukicha, tena mwezi kama hii kukaribia mwezi wa Ramadhani , wali utaliwa sana.

Ngoja nipunguze mmoja JF kwanza, ili nii-support Tz.
 
Back
Top Bottom