Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,723
- 15,366
Wacha kututoa kwenye reli sie bwana, ngoja kwanza ACT wamalize kuongea halafu nikujibu, lkn una uhakika wadada hawaolewi?Mbona jumamosi panakuwaga na harusi nyingi hivyo mtaani ama ni wanaume kwa wanaume wanaoana?Sema hivi hao bongo muvi kwann hawaolewa na mabwana zao wanaogiza nao au kuimba nao, tuwache sie