Dada zetu Tanzania mbona hamuolewi?

Dada zetu Tanzania mbona hamuolewi?

Us
Simba kula mtu sio habari ila mtu kula Simba ni habari. Walishazoea dada zao ndo wanaolewa na foreigners sasa upepo umebadilika kidogo tu imeshakua habari. Kuna ile story ya kipofu kufunguliwa macho akaona mwezi basi kila kitu kwake yeye kinafanana na mwezi. Ndo hali waliyo nayo kaka zetu sasa hivi.


Useme wewe wangu maana nimeshangaa sana... by the way huyo alijiolea Mkenya ndio namwonea huruma tuu sema sababu ni upande wa Mombasa kidogo labda wako kama Wanzanzibar but mwanadada wa kikenya mmmmh.. Big No kwangu aisee
 
Us



Useme wewe wangu maana nimeshangaa sana... by the way huyo alijiolea Mkenya ndio namwonea huruma tuu sema sababu ni upande wa Mombasa kidogo labda wako kama Wanzanzibar but mwanadada wa kikenya mmmmh.. Big No kwangu aisee
Pamoja kaka kaoa Mombasa ila wifi ana sura ya "Sitaki Mazoea". Kwahiyo shurba za kikenya zitamuhusu
 
Mimi naoa aliye interested njoo pm..

Masharti:
1:usiwe na acc instagram.
2:uwe na churaaaa
3:uwe na at least div 3 ya form 4 (usije kunizalie li bashite maana akili za mtoto zinatoka kwa mama)

Mengine tutavumiliana..
insta inahusiana nini na ndoa
 
Tuolewe ili tuwe kifungoni??? Makalio insta tutapost vipi.....mambo ya kipuuzi tutafanya Lini .....kwa kifupi hatuko tayari kuolewa



Ova
Hapo sasa ndio tunawaomba mbadirike tunawapenda sana
 
Mimi naoa aliye interested njoo pm..

Masharti:
1:usiwe na acc instagram.
2:uwe na churaaaa
3:uwe na at least div 3 ya form 4 (usije kunizalie li bashite maana akili za mtoto zinatoka kwa mama)

Mengine tutavumiliana..
Hahaha mkuu hiyo namba mbili unawanyanyapaa wasio na chura bora uoe yeyote
 
wanataka waolewe na wenye degree.......lkn nashangaa hao vijana wa degree wako wengi tu mtaani nao hao hawataki kuwaoa hawa wadada....hahahahahaaaaaa.

Kuna kastori natamani niwasimulie kuhusu hii inshu wadada kutokuelewa ....hahahahaaaa ni true story
Hebu kasimulie tukaelewe mkuu kwa niaba ya wakuu wengine
 
Naona umetoa mifano ya wanaume wasofika hata kumi ukaongelea wanawake wa kitanzani hawaolewi. Hivyo nyie mlobaki na mkaoa na mnaendelea kuoa, mnaoa wanaume wenzenu?
Nawe kaolewe Burundi ili umnyamazishe
 
Naona umetoa mifano ya wanaume wasofika hata kumi ukaongelea wanawake wa kitanzani hawaolewi. Hivyo nyie mlobaki na mkaoa na mnaendelea kuoa, mnaoa wanaume wenzenu?
Unajua unatukosea Dada yangu
 
Wewe mwenyewe unahitaji saana kubadilika !!!! Yaaani unakawanya wadada wa kitanzania kwa kupitia celebrities ??? Tumia mifano ya watu wenye maisha halisia ,achana na wa mitandaoni.....
Nadhani ndo utaeleweka
Nimetolea mifano tuu ya tabia mlizo nazo Dada zetu % kubwa mpo hivyoo mitandao imewamaliza akili
 
Sasa unataka kila anaeoa aweke mabango? Halafu unanipenda eeh. Naona umeniweka mfano wa wanawake wa Tanzania kwanini hawaolewi.
Na nyie kaka zetu mjiulize kwanini dada zenu wanaolewa nje na sio kuolewa na nyie. Hii ni two way traffic msijisahaulishe
Mzigua90 % kubwa ya nyie Dada zetu tabia zenu sio ndio maana wanaume tunaoa nchi za jirani, mbadirike kifupi tabia ambazo hazipo kimaadili hata kidogo, hivi mwanamke kutwa mitandaoni, kutwa umbea tuu, kutwa kwenda kupiga pombe bar, kwenda club kweli maisha ya ndoa mtayaweza? Kutulia nyumbani kumpikia mumeo, kufua na usafi wa nyumba kadhalika kelea watoto? Mjitafakali Mara ×2
 
Sasa wewe unadhani mimi na akili yangu nikamuoe Nandy?

Mkuu huku mtaani ndoa zinafungwa sana tu na wadada wanaolewa kwa wingi tu.

Tatizo hao wanaojiita kioo cha jamii wanajirahisisha sana, wanatumia umaarufu wao vibaya.

Muda mwingine tofauti ya wema labda na wale wadada wa pale KIMBOKA, UWANJA WA FISI, KWA WA HAYA na kwingineko tofauti huwa ni bei tu na mazingira.
Hao wanaojiita kioo cha jamii ni mifano tuu inayowakilisha % kubwa ya wanawake hapa Tanzania wanazingua sana
 
Kwahiyo hawa wasukuma tulio waoa sisi sio dada zako wa Kitanzania? Au dada zako unamanisha ni akina Wema, Kajala, Joketi na Nandy?
Mliobahatisha kuoa Dada zetu Mbarikiwe lakini % kubwa ndo ivyo umri unazidi kwenda kuolewa hawaolewi wapo mitaa mbali mbali tunawaonaa wanakula maisha tuu
 
Back
Top Bottom