Sanctus Libela
Member
- May 22, 2026
- 49
- 99
Leo nilikuwa naenda town, bahati mbaya gari nililosimamisha lilikuwa limejaa. Sasa bhana kuna Mdada mwenye Makebo Makubwa akawa amesimama mbele yangu.
Sasa Gari likaondoka ee bhana ya Mungu mengi, kutokana na msongamano, akawa ananigusa mara kwa mara kila gari lilipopiga breki au kuondoka. Aisee nilijikuta nikiwa uncomfortable sana. Hivi mnashindwa kusimama kwa namna inayowapa watu wote nafasi jamani?
PLAY SAFE BE POSITIVE
Sasa Gari likaondoka ee bhana ya Mungu mengi, kutokana na msongamano, akawa ananigusa mara kwa mara kila gari lilipopiga breki au kuondoka. Aisee nilijikuta nikiwa uncomfortable sana. Hivi mnashindwa kusimama kwa namna inayowapa watu wote nafasi jamani?
PLAY SAFE BE POSITIVE