Dada zetu mnaopanda daladala mnatuboa

Dada zetu mnaopanda daladala mnatuboa

Leo nilikuwa naenda town bahati mbaya gari nililosimamisha lilikuwa limejaa. Sasa bhn kuna mdada mwenye makebo makubwa akawa amesimama mbele yangu gari likaondoka ee bhn ya Mungu mengi huyu dada akawa amegusisha kwenye mshedede wangu kwaiyo gari likipiga inertia naye anazidi kuchezesha makebo kwenye mkuyenge wangu aisee niliboeka daah!! Hivi mnashindwa kustahimili mpaka mtulalie jamani
PLAY SAFE BE POSITIVE
Raha ndogo ndogo hizo za sie maskini...wanaotembelea tako hawawezi enjoy mambo ya kubambia msambwandaz
 
Ilinitokeaga hiyo, nimepanda daladala Kino kwa Manyanya naenda K'koo njiani nimesimama mbele na mshangazi mmoja hivi, si akaanza kusimama ananiletea asee, signals zilikua full mpaka kariakoo, halafu sijui alikua anajua anachofanya maana alikua ananigeukia geukia, nimeshuka K'koo sokoni nikawaza nimfuate, nikakumbuka nimeokoka😄
 
Kumbe kuna watu bado wanakula mbususu kwa macho kwenye ulimwengu huu mtoa mada tulitegemea atuambie kilichojiri baada ya kuchukua namba
 
Unathibitishaje anazingua na hajalalamika kiroho safi tu?
Daladala ina watu wengi muda wote wako macho ni ngumu mtu kufanya hivi labda ilikuwa coincidence
Wewe uzoefu wako kwenye suala hili ukoje?
Mimi ninavyojua daladala huwa zina mbanano sana! Kuna siku niliishia kuguswa guswa kwa nyuma na kijana! Wanataka wao bwana!
 
Daladala ina watu wengi muda wote wako macho ni ngumu mtu kufanya hivi labda ilikuwa coincidence

Mimi ninavyojua daladala huwa zina mbanano sana! Kuna siku niliishia kuguswa guswa kwa nyuma na kijana! Wanataka wao bwana!
Sasa jibu lako mbona kama lina contradiction?

Unasema daladala ina watu wengi ni ngumu kutikea, halafu kuna siku uliguswaguswa kwa nyuma na kijana.

Sasa hapo huoni kuwa hata kwa huyu mwenzetu kuna uwezekano kawekewa "nyash" mpaka kaleta malalamiko Umoja wa Mataifa ya JF huku?

Sasa ulipoguswaguswa na kijana ulifanyaje, ulimsogezea, ulimtazama, ulisogea mbali naye, ulimkaripia, au ulimpa namba kabisa?
 
Sasa jibu lako mbona kama lina contradiction?

Unasema daladala ina watu wengi ni ngumu kutikea, halafu kuna siku uliguswaguswa kwa nyuma na kijana.

Sasa hapo huoni kuwa hata kwa huyu mwenzetu kuna uwezekano kawekewa "nyash" mpaka kaleta malalamiko Umoja wa Mataifa ya JF huku?
Mwanamke kufanya hivi ni ngumu sana! Labda kama alikutana na shindikanaa!
Sasa ulipoguswaguswa na kijana ulifanyaje, ulimsogezea, ulimtazama, ulisogea mbali naye, ulimkaripia, au ulimpa namba kabisa?
Tulikuwa tumebanana sikuweza kusogea, nilikuwa nasubiri kupata uhakika kama ni coincidence au anafanya kusudi ili nimlipue! Nilipogundua tu ni makusudi nimlipue, naye akashuka! Ila ningemkomesha!
 
Mwanamke kufanya hivi ni ngumu sana! Labda kama alikutana na shindikanaa!

Tulikuwa tumebanana sikuwez kusogea, nilikuwa nasubiri kupata uhakika kama ni coincidence au anafanya kusudi ili nimlipue! Nilipogundua tu ni makusudi nimlipue, naye akashuka! Ila ningemkomesha!
Dah,

Pole sana. Ni karaha kubwa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom