Dada zangu omba yasikukute haya

Dada zangu omba yasikukute haya

Ukimwi utaupata tu endapo utaenda kuupima, usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Tafuta documentary YouTube inaitwa " HOUSE OF NUMBERS", ina zaidi ya saa 1 lakini iangalie mara kadhaa utaelewa hii Dunia inavyoendeshwa. Story za UKIMWI na woga kuhusu HIV vimebakia Africa na nchi tegemezi. Hizo campaign zilisha expire siku nyingi kwenye nchi zenye taarifa zaidi. Maisha ni hayahaya acha watu waishi maisha wanayoona yanawafaa ilimradi hawavunji sheria yoyote. Ukiamua kuishi kwa uoga ni wewe, ila usiwatishe watu.
Na kwa nini ukapime magonjwa ambayo dawa yake haijagunduliwa? Ni kujiyafutia pressure za bure tu.
 
Hii stye walikuwa wanaitumia wakubwa kutuasa miaka hiyo na kwa kiasi fulani tuliwaelewa.

Japo kwa sasa zama zimebadilika sana watu wanafanya yote hayo bila woga na baada ya hapo wakiona hawaelewi chap wanakimbilia pharmacy kununua dawa wanameza kuyakwepa maambukizi.

Kikubwa hapo ni hao walaghai watunze tu vibunda vyao.
Kwa kweli.
 
S
Huwezi kuelewa ila kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa MPUMBAVU ila hujui kama ni MPUMBAVU. Ruhusu fikra huru kujua usiyoyajua. Wakati Magufuli anawashtua watu kuhusu COVID-19, wengi walimshangaa sana baadae Dunia mzima ikaelewa. Mpiga debe wa H.I.V, AIDS etc anaitwa Robert Gallo na yupo hai. Mambo mengine yamewazidi kimo kwasababu uelewa wenu ni mdogo. Hata nikikwambia fikiria nje ya box huwezi kuelewa kwasababu akili yako imeshikiliwa na ni hivyohivyo kwa zaidi ya 90% ya watu(binadamu duniani). Ila naamini siku moja utaelewa. Narudia tena usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Hiyo sentence inahitajika uwe na akili kuweza kuielewa, kama reasoning capacity yako ni ndogo huwezi kuelewa kamwe. NEVER.
asa mkuu Mimi nimekuelewa vizuri tu,hebu toa ushauri sasa.
Mfano huyo mtu ameanza kuumwa ndo akaenda kupima,anatakiwa afanye nini if asipoenda kupima?
 
Na kwa nini ukapime magonjwa ambayo dawa yake haijagunduliwa? Ni kujiyafutia pressure za bure tu.
Hapo nimeongea kwa mafumbo pia(tungo tata), yawezekana na unachoenda kupima hakipo, ndo maana usipokipima unakuwa huna.
Fanya utafiti, mfano jizoeshe kila ukipata mafua makali au homa kali, nenda kapime ukimwi Kuna uwezekano ukaambia unao, ila usipopima ukimwi utarudi NORMAL na maisha yataendelea. Ndo msingi wa maelezo yangu hapo juu. Sipo hapa kumbadilisha yeyote mindset yake kuhusu ukimwi, najaribu kutoa mwanga watu wafanye research. Bahati mbaya wengi ni wafata mkumbo tu. Hiyo ni Dunia nzima hadi wazungu.
 
S

asa mkuu Mimi nimekuelewa vizuri tu,hebu toa ushauri sasa.
Mfano huyo mtu ameanza kuumwa ndo akaenda kupima,anatakiwa afanye nini if asipoenda kupima?
Hakuna mtu anayeumwa UKIMWI, hakuna ugonjwa unaitwa UKIMWI ni Upungufu Wa Kinga MWILINI. Sio ugonjwa hata ukiwa na mafua makali unapungukiwa Kinga MWILINI. Kinga kupungua mwilini ni kawaida, mtu anaumwa, typhoid, Maralia, Tuberculosis nk nk, lakini haumwi kupungukiwa kinga. Kinga zikipungua nenda kale vizuri wiki 3 au mwezi zinarudi normal, ila ukidanganyika ukaanza kuitumia ARV'S baada ya miezi mitatu Kinga yako ya asili inakwisha mwili unaanza kutegemea ARV's na ndo unaanza kudhoofika kwa mwili kutegemea ARV's huwezi kuziacha tena kirahisi. Zimedizainiwa hivyo, ni biashara kubwa ya pharmaceuticals Companies..,Maelezo ni mengi sana hata kitabu Cha page 200 hakitoshi. Tafuta documentary YouTube inaitwa HOUSE OF NUMBERS anzia hapo. Mengine jiongeze, hii Dunia ni pana sana.
 
Hapana mimi ni Jerusalem2006. Ni daktari wa binadamu na nimesoma Urusi kwa zaidi ya miaka 10, na nimeshiriki research mbalimbali za magonjwa ya kuambukizwa duniani.
Tupe elimu zaidi mkuu, kwa nilivyokuelewa mtu akipima anapata hofu ndo inampelekea aanze kuumwa ghafla wakati alikuwa mzima, sasa swali langu kwanini wengine wanasoma +ve na wengine -ve? na vipi akipima mtu disminder asiyeogopa itamuathiri pia?.
 
Huwezi kuelewa ila kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa MPUMBAVU ila hujui kama ni MPUMBAVU. Ruhusu fikra huru kujua usiyoyajua. Wakati Magufuli anawashtua watu kuhusu COVID-19, wengi walimshangaa sana baadae Dunia mzima ikaelewa. Mpiga debe wa H.I.V, AIDS etc anaitwa Robert Gallo na yupo hai. Mambo mengine yamewazidi kimo kwasababu uelewa wenu ni mdogo. Hata nikikwambia fikiria nje ya box huwezi kuelewa kwasababu akili yako imeshikiliwa na ni hivyohivyo kwa zaidi ya 90% ya watu(binadamu duniani). Ila naamini siku moja utaelewa. Narudia tena usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Hiyo sentence inahitajika uwe na akili kuweza kuielewa, kama reasoning capacity yako ni ndogo huwezi kuelewa kamwe. NEVER.
tumeona watu wanakonda wanaelekea kufa then dawa ndio zinawaokoa afya inarejea. Leo unasema tusipime ukimwi haupo
 
Huwezi kuelewa ila kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa MPUMBAVU ila hujui kama ni MPUMBAVU. Ruhusu fikra huru kujua usiyoyajua. Wakati Magufuli anawashtua watu kuhusu COVID-19, wengi walimshangaa sana baadae Dunia mzima ikaelewa. Mpiga debe wa H.I.V, AIDS etc anaitwa Robert Gallo na yupo hai. Mambo mengine yamewazidi kimo kwasababu uelewa wenu ni mdogo. Hata nikikwambia fikiria nje ya box huwezi kuelewa kwasababu akili yako imeshikiliwa na ni hivyohivyo kwa zaidi ya 90% ya watu(binadamu duniani). Ila naamini siku moja utaelewa. Narudia tena usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Hiyo sentence inahitajika uwe na akili kuweza kuielewa, kama reasoning capacity yako ni ndogo huwezi kuelewa kamwe. NEVER.
Kuna mantiki kwenye hizi points za chini
 
Ukimwi utaupata tu endapo utaenda kuupima, usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Tafuta documentary YouTube inaitwa " HOUSE OF NUMBERS", ina zaidi ya saa 1 lakini iangalie mara kadhaa utaelewa hii Dunia inavyoendeshwa. Story za UKIMWI na woga kuhusu HIV vimebakia Africa na nchi tegemezi. Hizo campaign zilisha expire siku nyingi kwenye nchi zenye taarifa zaidi. Maisha ni hayahaya acha watu waishi maisha wanayoona yanawafaa ilimradi hawavunji sheria yoyote. Ukiamua kuishi kwa uoga ni wewe, ila usiwatishe watu.
Nimependa ulivoelezea, hata mimi baada ya kumpoteza jamaa yangu kwa kinachosemekana ni ukimwi (feki) nimekuwa na msimamo huo, utaugua ukimwi endapo tu utaenda kupima" bila kupima huwezi ugua ukimwi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom