Dada zangu omba yasikukute haya

Dada zangu omba yasikukute haya

Ukimwi utaupata tu endapo utaenda kuupima, usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Tafuta documentary YouTube inaitwa " HOUSE OF NUMBERS", ina zaidi ya saa 1 lakini iangalie mara kadhaa utaelewa hii Dunia inavyoendeshwa. Story za UKIMWI na woga kuhusu HIV vimebakia Africa na nchi tegemezi. Hizo campaign zilisha expire siku nyingi kwenye nchi zenye taarifa zaidi. Maisha ni hayahaya acha watu waishi maisha wanayoona yanawafaa ilimradi hawavunji sheria yoyote. Ukiamua kuishi kwa uoga ni wewe, ila usiwatishe watu.
Kama unaishi kwa huu msimamo, we ni moja ya binadamu wenye furaha na aman hapa duniani.
 
Tupe elimu zaidi mkuu, kwa nilivyokuelewa mtu akipima anapata hofu ndo inampelekea aanze kuumwa ghafla wakati alikuwa mzima, sasa swali langu kwanini wengine wanasoma +ve na wengine -ve? na vipi akipima mtu disminder asiyeogopa itamuathiri pia?.
Mkuu tafuta documentary YouTube inaitwa HOUSE OF NUMBERS, angalau video ni rahisi kufatilia kuliko maandishi. +Ve na -Ve ni nadharia tu, mfano kirusi cha COVID-19 kilionekana mchoro wake kinavyoonekana, wapi umewahi kuona mchoro wa kirusi cha UKIMWI!?, Kawaida mwili wa binadamu ukipungukiwa Kinga baada ya muda ukifanya mazoezi ukala vizuri unarudi normal, lakini wakati umepungukiwa Kinga.. ndo mfano, ukiwa na mafua makali, ukipata UTI, Gono, Maralia etc Kinga zako zikaathirika kwa kawaida ukitibu ugonjwa ulionao na kula kunywa vizuri unarudi normal baada ya muda. Ila kipindi unaumwa hayo magonjwa hapo juu na ukajichanganya kucheki UKIMWI ukaambiwa uko +Ve, palepale wanakuanzishia DOSE ya ARV, nao wamekaririshwa hivyo makusudi ili kuongeza namba ya watumiaji duniani. Ila usipopima ukimwi utatibu Maralia, UTI, Gono etc etc na utarudi NORMAL. Na hata ukipima UKIMWI ukaambiwa uko +Ve ila ukawa mbishi ukaenda kutibu unachoumwa tu na ukala vizuri baada ya wiki chache ukipima tena UKIMWI utakuta -Ve, nina ushahidi wa zaidi ya watu 10 walioambiwa wako +Ve siku chache nikajua nikawaambia watupe madonge waliyopewa na baadae kupima hamna kitu. Hii hutakaa uisikie popote. ARV's ni biashara kubwa sana, na sio bure kama watu wanavyofikiria zinalipiwa. Ni kwamba serikali ya Marekani kupitia USAID, WHO etc zinatoka billions of dollars kuleta nchi maskini, halafu zinarudi kwenye viwanda vyao vya matajiri wachache wamiliki kwa jina la kusaidia nchi maskini ku deal na AIDS. Kwasasa Trump kaondoka USAID, bado serikali ya Tanzania, Malawi, SA, Nigeria etc zitatoa ela zenyewe kununua ARV'S kwasababu wameishaingiza watu wake kwenye mfumo wa ARV'S. Ukishaanza kuitumia ARV'S baada ya muda Fulani sio chini ya miezi mitatu kuziacha ni vigumu, kwasababu Kinga yako ya asili inakwisha unaanza kutegemea artificial immunity (Kinga bandia) iliyo kwenye ARV's, ila ukipata Daktari anayeelewa(mtaalam) hata kama umetumia ARV's muda mrefu anakuachisha taratibu mpaka unaacha kabisa na ukienda kupima UKIMWI unakuta hakuna kitu. Baadhi ya wahubiri mashuhuri duniani hata TB Joshua kabla hajafa walikuwa na taarifa sahihi na walitembelea hii nyota kujifanya wanaponya UKIMWI kumbe wanawapa waumini maelekezo fulani ya lishe na kuwaachisha ARV'S kwa mgongo wa kutumia jina la YESU. Hapa nimekupa hints tu, Maelezo kuhusu H.I.V, AIDS, CD4 count etc, ni mengi sana. Anza na hiyo documentary YouTube ya HOUSE OF NUMBERS itakupa mwanga pa kuanzia, baadhi ya madaktari kwenye hiyo documentary walifungiwa kwasababu ya kusanua ulimwengu.
NB: Haya maelezo huru sio kanuni, waweza kukubaliana nayo au kutokukubaliana nayo. Hapa tuna share knowledge tu. Kuna kuyachukua ukayaweka kichwani au ukayaacha tu. Vyote ni sawa tu.
 
Ukimwi utaupata tu endapo utaenda kuupima, usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Tafuta documentary YouTube inaitwa " HOUSE OF NUMBERS", ina zaidi ya saa 1 lakini iangalie mara kadhaa utaelewa hii Dunia inavyoendeshwa. Story za UKIMWI na woga kuhusu HIV vimebakia Africa na nchi tegemezi. Hizo campaign zilisha expire siku nyingi kwenye nchi zenye taarifa zaidi. Maisha ni hayahaya acha watu waishi maisha wanayoona yanawafaa ilimradi hawavunji sheria yoyote. Ukiamua kuishi kwa uoga ni wewe, ila usiwatishe watu.
Nimechekaa
 
So ukipimwa unachokutwa nacho ni nini, na kama usipopima kinakua hakipo mwilini?

Nimependa mada yako, nielimishe kidg
Mkuu fatilia POST zangu zote kwenye hii thread nimetoa maelezo mengi sana. Nitarudia kwa ufupi UKIMWI ni UPUNGUFU WA KINGA MWILINI, huo sio ugonjwa, hata ukiwa na Maralia sometimes Kinga inapungua, ili ukajichanganya ukapima UKIMWI wakati Kinga zimepungua utaambiwa unao au kile kidude cha kupimia kitaleta mistari miwili, tayari unaanza kuogopa na pengine unaanzishiwa ma ARV'S. Pitia post zangu hapo juu nimewajibu baadhi ya members humu.
 
Ukimwi utaupata tu endapo utaenda kuupima, usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Tafuta documentary YouTube inaitwa " HOUSE OF NUMBERS", ina zaidi ya saa 1 lakini iangalie mara kadhaa utaelewa hii Dunia inavyoendeshwa. Story za UKIMWI na woga kuhusu HIV vimebakia Africa na nchi tegemezi. Hizo campaign zilisha expire siku nyingi kwenye nchi zenye taarifa zaidi. Maisha ni hayahaya acha watu waishi maisha wanayoona yanawafaa ilimradi hawavunji sheria yoyote. Ukiamua kuishi kwa uoga ni wewe, ila usiwatishe watu.
Kitu qmbacho watu wengi hawakijui ni kuwa UKIMWI sio ugonjwa. Once wakifahamu hili wataanza kuielewa kauli yako Mkuu.
 
So ukipimwa unachokutwa nacho ni nini, na kama usipopima kinakua hakipo mwilini?

Nimependa mada yako, nielimishe kidg
UKIMWI ni hali inayosababisha mtu kushambuliwa na magonjwa mengine kwa urahisi. Ina maana kila mtu anayeumwa ugonjwa wowote technically ana UKIMWI ndio maana anaumwa mf. Mafua, malaria, vipele n.k
 
Wenye pesa ndio wenye HIV? Tu
Kazi ni kipimo cha utu
 
Mkuu tafuta documentary YouTube inaitwa HOUSE OF NUMBERS, angalau video ni rahisi kufatilia kuliko maandishi. +Ve na -Ve ni nadharia tu, mfano kirusi cha COVID-19 kilionekana mchoro wake kinavyoonekana, wapi umewahi kuona mchoro wa kirusi cha UKIMWI!?, Kawaida mwili wa binadamu ukipungukiwa Kinga baada ya muda ukifanya mazoezi ukala vizuri unarudi normal, lakini wakati umepungukiwa Kinga.. ndo mfano, ukiwa na mafua makali, ukipata UTI, Gono, Maralia etc Kinga zako zikaathirika kwa kawaida ukitibu ugonjwa ulionao na kula kunywa vizuri unarudi normal baada ya muda. Ila kipindi unaumwa hayo magonjwa hapo juu na ukajichanganya kucheki UKIMWI ukaambiwa uko +Ve, palepale wanakuanzishia DOSE ya ARV, nao wamekaririshwa hivyo makusudi ili kuongeza namba ya watumiaji duniani. Ila usipopima ukimwi utatibu Maralia, UTI, Gono etc etc na utarudi NORMAL. Na hata ukipima UKIMWI ukaambiwa uko +Ve ila ukawa mbishi ukaenda kutibu unachoumwa tu na ukala vizuri baada ya wiki chache ukipima tena UKIMWI utakuta -Ve, nina ushahidi wa zaidi ya watu 10 walioambiwa wako +Ve siku chache nikajua nikawaambia watupe madonge waliyopewa na baadae kupima hamna kitu. Hii hutakaa uisikie popote. ARV's ni biashara kubwa sana, na sio bure kama watu wanavyofikiria zinalipiwa. Ni kwamba serikali ya Marekani kupitia USAID, WHO etc zinatoka billions of dollars kuleta nchi maskini, halafu zinarudi kwenye viwanda vyao vya matajiri wachache wamiliki kwa jina la kusaidia nchi maskini ku deal na AIDS. Kwasasa Trump kaondoka USAID, bado serikali ya Tanzania, Malawi, SA, Nigeria etc zitatoa ela zenyewe kununua ARV'S kwasababu wameishaingiza watu wake kwenye mfumo wa ARV'S. Ukishaanza kuitumia ARV'S baada ya muda Fulani sio chini ya miezi mitatu kuziacha ni vigumu, kwasababu Kinga yako ya asili inakwisha unaanza kutegemea artificial immunity (Kinga bandia) iliyo kwenye ARV's, ila ukipata Daktari anayeelewa(mtaalam) hata kama umetumia ARV's muda mrefu anakuachisha taratibu mpaka unaacha kabisa na ukienda kupima UKIMWI unakuta hakuna kitu. Baadhi ya wahubiri mashuhuri duniani hata TB Joshua kabla hajafa walikuwa na taarifa sahihi na walitembelea hii nyota kujifanya wanaponya UKIMWI kumbe wanawapa waumini maelekezo fulani ya lishe na kuwaachisha ARV'S kwa mgongo wa kutumia jina la YESU. Hapa nimekupa hints tu, Maelezo kuhusu H.I.V, AIDS, CD4 count etc, ni mengi sana. Anza na hiyo documentary YouTube ya HOUSE OF NUMBERS itakupa mwanga pa kuanzia, baadhi ya madaktari kwenye hiyo documentary walifungiwa kwasababu ya kusanua ulimwengu.
NB: Haya maelezo huru sio kanuni, waweza kukubaliana nayo au kutokukubaliana nayo. Hapa tuna share knowledge tu. Kuna kuyachukua ukayaweka kichwani au ukayaacha tu. Vyote ni sawa tu.
Na muda huu nimetoka kuangalia hiyo documentary nipe nyingine mkuu baada ya house of numbers.
 
Hii kitu hawawezi kuwafundisha, ukitoka huko hotel kunyandua na uyo na hamjapima, nenda kitua upewe PEP zako safii umejitwalia laki 5 za bure, na mnyanduano maridhawa

No stress
 
Unampigia mbuzi gitaa, kwenye chapaa hao viumbe unang'oa kirahisi sana.

Na wewe utaambiwa unawaonea wivu.
 
Amekutext dm mtandaoni ukamuuliza wewe nani? akakujibu jina ukamuuliza okay una shida gani? akakujibu ningependa tuwe marafiki kama utojali

Ukasema ngoja niingie profile yake ukaangalie picha zake ukaona mara yupo na range anaonekana jamaa mmoja mwenye uwezo

Akakuomba namba ya sim na wewe bila kusita ukampa after 1day akakuomba muonane ukamwambia huna nauli bila kuchelewa sms ya m-pesa ikaingia kwenye sim yako 200,000 kakutumia na ni nauli tu hiyo ingawa unapotoka hapazidi hata 20,000

Ukasema mambo yasiwe mengi ukajiremba mwenyewe ukajipulizia na marashi ya kunukia vizuri ukaweka make up bila kuchelewa ukarequest usafiri ukapanda

Baada ya massage kadhaa ukafika alipokuelekeza akakuchukua kwa ajili ya lunch na kukupeleka hotel nzuri akakushika mkono na kukufanya ucheke muda wote kwa vituko vyake

Ukafall in love hapohapo utadhani mmejuana kwa miaka akakuchukua mpaka hotel mkaingia ndani kimahaba ukapenda the way alivyo romantic, nguvu na ujasiri ukajisikia secure ukiwa nae

Ukajua kabisa kuwa unachoenda kufanya sio sahihi lakini ukajisikia poa tu ukamwambia atumie kinga, akakuambia it's too late babe ukasema okay hukutaka kumsumbua

Akakuambia anakupenda ukusita kumwambia unampenda pia ukanvua nguo tena mwenyewe mkanyandua kwa style zote akakubusu katika shavu lako kisha akakuambia nimefurahi nimekuwa na wewe muda mzuri na wewe

Akachukua wallet yake akakupa 300,000 na wakati huo alikutumia 200,000 ukatabasamu kisha akakuambia mjiandae ukapanda uku ukimuaga kwa tabasamu zito ulipofika nyumbani ukamtumia message kuwa umefika kimya ukampigia namba haifanyi kazi unaingia whatsapp unamuona online ukamtext babe dakika chache baadaye humuoni whatsapp unaona kivuli tu amekublock na kawaida ukimpigia kakublock unabaki unajiuliza kwanini

Ukasema it's okay atajua mwenyewe siku, week, miezi, ikapita unaanza kujisikia homa homa mchovu uzito umepungua na utando mdomoni

Unaenda kituo cha afya kupima nusu saa daktari anaingia pole sana dada language una maambukizi ya virusi vya ukimwi na ni mjamzito vile vile mimba + hiv? how

Hauelewi hauamini unarudi nyumbani ukiwa na hours kubwa unaona kifo hiki hapa unatazama angani unaona mwisho wako unajuta kumuamini mtu kirahisi hivyo unatamani muda ungerudi nyuma lakini ndio ivory inakuwa too late unajiuliza ulikosea wapi upati majibu hiv umepata na mimba umepata isitoshe aliekupa kakukimbia sad

Dear ladies msiwe kama huyu ishi vizuri hapa duniani acheni kutamani material things, kuwa mwanamke ambaye ungependa mwanao aje kuwa mtoto mzuri na ndio wazazi wetu walitufundisha ishi maisha yanayompendeza mungu pekee na sio binadamu vitabu vya dini vinasema "msiamini kila roho ila zichungeni hizo roho kama zimetokana na mungu" mke + mume anatoka kwa mungu usisahau maagizo ndio silaha ya ushindi
Wanawake na materials things ni sawa na living things na oxygen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom