Dada yetu Jide hakubali kama kazeeka?

Dada yetu Jide hakubali kama kazeeka?

Mtu kachagua style yake ya kuishi wewe unaongelea habari za umri isitoshe ni msaanii ila sio gospel
 
20250414_184252.jpg
 
KIna madona , J Lo , M carey wana more than 60 lakini bado wanavaa vichupi ,mwache Komandoo ndiyo kwanza ana 46.
 
Bibi na Babu ni tafsiri ya watu wenye upeo wa chini ambao hawajajua kuwa wao sio mwili .

Mimi nawafurahia watu ambao wapo relevant .

Uzee ni nadharia ya watu Ila haipo
Na makunyanzi waliyoyavaa nyusoni mwao nayo pia ni illusion?
 
Kule nilikuuliza kutaka kuthamanisha.
Hata mimi huyo Bulaya kwa ngebe zake zile za Bungeni, ng'he ng'he ng'he huwa ananipa mzuka wa kumtamani kimapenzi.
Sio boss ana mwili sexy
Unakula tamu then unamwambia niweke status waheshimiwa wenzako wanione😅😅😅
 
Huyu dada yetu Lady Jay Dee akubali tu jua lishazama haya mambo awaachie kina Abigail jaman, sasa paja la mtu mzima mkongwe nani alitamani.View attachment 3304079
Akijipost mzungu wao MARIAH CAREY wabongo UTASIKIA she's beautiful huyu dada ni mzuri kweli asee
>MARIAH CAREY born 1969 age 56y/o

kazi inakuja akijipost star wako wa kibongo LADY JAY DEE Utasikia kazeeka vipaja kama kama vya nyumbu cheki tumbo na ndio maana azai
>LADY JAY DEE born 1979 age 45y/o

Unajua kumiriki bichwa kubwa lisilo na akili ni adhabu kubwa kwa miguu
 
Anakombizana na madogo wa 2000. Dah!!
Mlio karibia naye mwambieni ' umekuwa usiku'; atuimbie 'wazee' wenzake
 
Back
Top Bottom