Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,367
- 8,407
Dada sys mambo🤗Ukiona hivyo maisha yamekuchapa umri mdogo ila moyo unasoma 70s
Dada sys mambo🤗Ukiona hivyo maisha yamekuchapa umri mdogo ila moyo unasoma 70s
Mwanao wa kiume akileta kibibi nyumbani kwako kukitambulisha kama mke wake, kwa kigezo cha age is just a number utakubaliana na mwanao?Bibi na Babu ni tafsiri ya watu wenye upeo wa chini ambao hawajajua kuwa wao sio mwili .
Mimi nawafurahia watu ambao wapo relevant .
Uzee ni nadharia ya watu Ila haipo
Tabia mbaya kwa kweliHuyu dada yetu Lady Jay Dee akubali tu jua lishazama haya mambo awaachie kina Abigail jaman, sasa paja la mtu mzima mkongwe nani alitamani.View attachment 3304079
Mwanao wa kiume akileta kibibi nyumbani kwako kukitambulisha kama mke wake, kwa kigezo cha age is just a number utakubaliana na mwanao?
Au unaongea tu kuchangamsha genge?
Na Mungu azidi kumuinua kwakweliMoja kati ya watu wa maana kabisa.
Anaishi maisha yake bila mbambamba!
Na amejuaga kufutuka kweli yule dada.Muombe Msaha Shilole
Ana umri ganiHuyu dada yetu Lady Jay Dee akubali tu jua lishazama haya mambo awaachie kina Abigail jaman, sasa paja la mtu mzima mkongwe nani alitamani.View attachment 3304079
Unachochewa moto 😳Nafurahia unavoyashika nikiwa nachochea moto 🔥🔥🔥🔥
Humu kuna watu alisema ana mimba nikawaambia ni tumbo la bia za baridi na nyama choma wakanibishia sasa mimba iko wapi 😆Huyu dada yetu Lady Jay Dee akubali tu jua lishazama haya mambo awaachie kina Abigail jaman, sasa paja la mtu mzima mkongwe nani alitamani.View attachment 3304079
Mbona tamu inamabonde Sana?
Paja lake, nguo zake, kivyake.Huyu dada yetu Lady Jay Dee akubali tu jua lishazama haya mambo awaachie kina Abigail jaman, sasa paja la mtu mzima mkongwe nani alitamani.View attachment 3304079