Dada yetu Jide hakubali kama kazeeka?

Dada yetu Jide hakubali kama kazeeka?

Kwani utapaweza basi una status gani huyu hajavalia kujiuza ni fesheniiiii tu tunamfahamu tunamjua... Yeye anapenda wine kuliko kobilo,,,,.. huyu sio muhuni . Siyo muhuni siyo kina Uwoya au Gigy.
 
Kwa uzoefu wangu wa kuwajua wanawake, huyu ni mfanya mazoezi mzuri au kama hafanyi basi anajifunza au alishawahi jifunza na kupitia sehemu za kujifunza Karate, Judo, Taekwondo au mchezo wowote ule wa kimapigano hasa ya Far East au East Asia, Huwa tuna codes zetu. By the way Mimi namuona Bado ni mzuri sana tu.
 
Jf imejaza wangese wengi wanauza makota, wanajita watoto wa afu mbili lakini nyuma kuko wazi, sasa hapa watakandia juu ya huo uzee ni km kujinadi walivyo vijana kwenye soko lao lisipokonywe na wazee
 
Tushakubaliana. Hata uvae kaptula ndo ushazeeka hivyo. Kubali tu shkamoo. Sio shkamoo eti poa!
 
Watanzania wengi ni wanaafiki sana, sasa what's wrong with that picture?
 
ni vile tu ni mti mkavu na kipaja cha mbu na kasura kake kamezidi front hapo kama tule tusneki twa kijani....😂wueeh kuna ma mama ya hovyo yakikaa hivyo unachanganyikiwa wewe....tofautisha umri na mwili.😎
 
Back
Top Bottom