Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,393
- 88,826
Ngoja niiandikeNipe account number, halafu huyo jamaa achana nae kwanza anaishi nyumba ya kupanga huko arusha bado anatafuta ajira namfahamu vzr
Ngoja niiandikeNipe account number, halafu huyo jamaa achana nae kwanza anaishi nyumba ya kupanga huko arusha bado anatafuta ajira namfahamu vzr
Hapana mkuu. Vyura wako kihansiEti ni kweli unafanya ufugaji wa chura?
![]()
Hahahaha! Cha mtu sumu na ujue mtaraka huwa hatongozwi ukitaka nakuachia..! But Park at your own riskNipe account number, halafu huyo jamaa achana nae kwanza anaishi nyumba ya kupanga huko arusha bado anatafuta ajira namfahamu vzr



Hahaa, kwa leo nakuweka kiporo.Hapana mkuu. Vyura wako kihansi
Namuwekea zindiko ole wako uguse lazima unateHahahaha! Cha mtu sumu na ujue mtaraka huwa hatongozwi ukitaka nakuachia..! But Park at your own risk![]()
HahahahaaHahahaha! Cha mtu sumu na ujue mtaraka huwa hatongozwi ukitaka nakuachia..! But Park at your own risk![]()
Uzuri kwa mtaraka utumii nguvu, wewe nisaidie kushika mapembe muda wa kukamua.Namuwekea zindiko ole wako uguse lazima unate
Touch at your own risk......
Hutaki kula Leo? Nimepika muda huuHahaa, kwa leo nakuweka kiporo.
😁😂😂😂😂Majuto ni mjukuu, umri ukiwatupa mkono huwa wanatamani waolewe hata na kina Masoud Surambaya.
Tutaona bas!!! Nan zaid tafuta hela dogoUzuri kwa mtaraka utumii nguvu, wewe nisaidie kushika mapembe muda wa kukamua.
Don't dare me!Hutaki kula Leo? Nimepika muda huu
Bby nshakutumia account pmTutaona bas!!! Nan zaid tafuta hela dogo
Weka vitega uchumi
Jenga kwako
Sasa ww shindana na wakubwa wako huku utaumia sanaaaa
Hahahahahaaa.. I dare youDon't dare me!
Shusa verse..! Mbona unakimbilia rungu, mapenzi upofu etiiTutaona bas!!! Nan zaid tafuta hela dogo
Weka vitega uchumi
Jenga kwako
Sasa ww shindana na wakubwa wako huku utaumia sanaaaa





Kama unataka kujenga omba tukusaidie dogo, hawa watoto tuachie sisi ,Shusa verse..! Mbona unakimbilia rungu, mapenzi upofu etii![]()
Mpe pesa tukajenge kwani shida iko wapi..!
![]()
Wanawake wenye makalio makubwa ni shida! Muda mwingi akili zao wameziwekeza kwenye makalio!Rafiki zangu watatu wameolewa siku za karibuni na wana makalio Kama yote. Sio kila mwanamke anaabudu tako kisa tu analo. MTU kazaliwa hivyo. Na nyie wanaume mmeanza kuwaona wanawake wenye matako Kama threat kwenu. Kitu kidogo tu mnakimbilia sababu Ana tako. Hukumuni wasioolewa kwa mengine Kama tabia ambayo inachange ila sio maumbilie yao waliyozaliwa nayo.
Bado mkubwa niajiri shekhee..!Kama unataka kujenga omba tukusaidie dogo, hawa watoto tuachie sisi ,
Vp ushapata ajira kwanza???
Inategemea na nini anafanya. Kama alikimbia umande na kazi hafanyi na tako lipo kwanini asiwekeze bongo yake huko sasa..Wanawake wenye makalio makubwa ni shida! Muda mwingi akili zake zote ameziwekeza kwenye makalio!