Dada yangu stuka, umri unakutumpa mkono

Dada yangu stuka, umri unakutumpa mkono

Hapana sio lazima ila ni jambo zuri hasa akipatikana mnaependana nae.
Tuseme...kuwa mwanamke kuna ambatana na kuolewa..

Pia kuolewa kuna leta heshima fulani mwanamke..! Ni kheri pia

Ila ndio hivyo tena..
 
Tuseme...kuwa mwanamke kuna ambatana na kuolewa..

Pia kuolewa kuna leta heshima fulani mwanamke..! Ni kheri pia

Ila ndio hivyo tena..
Ndo hivyo kwamba haiwezekani wanawake wote wakaolewa siku moja. Ni heshima ila ije kwa wakati muafaka na moyo ukiridhia sio pressure za umri
 
Ndo hivyo kwamba haiwezekani wanawake wote wakaolewa siku moja. Ni heshima ila ije kwa wakati muafaka na moyo ukiridhia sio pressure za umri
Kuna wengine wanalipwa kwa yale waliyo yapanda,unakuta binti ana machejo kinoma noma,watu wa maana wana mfata wamuoe ana watolea nje.

Sasa kinachowakuta ........ Nakuja kukwambia.
 
Kuna wengine wanalipwa kwa yale waliyo yapanda,unakuta binti ana machejo kinoma noma,watu wa maana wana mfata wamuoe ana watolea nje.

Sasa kinachowakuta ........ Nakuja kukwambia.
Sio Malipo useme hakumpenda. Kutokua na ndoa haimaanishi kupokea kila offer inayokuja mbele yako. Ndoa sio jambo LA kumfurahisha MTU ni maisha ya MTU.
 
Sio Malipo useme hakumpenda. Kutokua na ndoa haimaanishi kupokea kila offer inayokuja mbele yako. Ndoa sio jambo LA kumfurahisha MTU ni maisha ya MTU.
Hilo nalijua sana,ila maajabu ya hisia wewe mwenyewe unayajua,unaweza kumchukia mtu leo kesho ukaja kumpenda kufa. Tatizo watoto wa kike mnadanganyika sana.....!

Narudi.....!
 
Hilo nalijua sana,ila maajabu ya hisia wewe mwenyewe unayajua,unaweza kumchukia mtu leo kesho ukaja kumpenda kufa. Tatizo watoto wa kike mnadanganyika sana.....!

Narudi.....!
Sio kumchukia basi tu sijui kinatokea nini. Ila hizo pata potea sio cha kuchezewa kwenye ndoa. Kwamba unaweza mpenda MTU kwenye ndoa halafu ufike ukute kila ukijaribu moyo unakataa. Utatamani ufukiws mzima
 
Back
Top Bottom