omutimbasafi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 609
- 771
mama akiwa na umri wa miaka 27,alikuwa ameshafunga kizazi akiwa na watoto watano,wenye birth interval ya miaka 2,kama kuna mwanamke ana miaka 26 na kuendelea na bado yupo yupo nampa pole yake.
Unavituko ww nmekupenda bure kwa ako ka lughaUngewekamo kapicha
Wewe hauna???Kwahiyo wenye makalio makubwa wayapeleke wapi mkuu?
Sawa tumekisikia
Hivi na wewe bado ujapata?? Ukikosa kabisa njoo nikutoe kimasomaso..Haya sasa kazi imeanza.
Nilijua mtapita kwa kujipa moyo..Maisha hayana Formula, kijana wa kiume shtuka.... usiseme sikukwambia. lol
Nakuona Chakubanga wa fisi emuMANENO yako yana buibui walahi Maana unatuletea zilipendwa!
Uchafu mtupu umeandika walahi!
Kwani kuolewa ni lazima, pathetic DNA walahi
Inaonyesha una tako nasikia ww ni single mom, ucjal nataka nije nilipapase hilo tako kama utajali tuzae mtoto mi na wwRafiki zangu watatu wameolewa siku za karibuni na wana makalio Kama yote. Sio kila mwanamke anaabudu tako kisa tu analo. MTU kazaliwa hivyo. Na nyie wanaume mmeanza kuwaona wanawake wenye matako Kama threat kwenu. Kitu kidogo tu mnakimbilia sababu Ana tako. Hukumuni wasioolewa kwa mengine Kama tabia ambayo inachange ila sio maumbilie yao waliyozaliwa nayo.
SinaWewe hauna???
Mpenzi hilo lako la asili halina shida. Mdau anaongelea wale wenye ya kichina au wale wenye ya asili ambao kisa kabarikiwa kichuguu kidogo basi anakitumia hicho kama mtaji na hajishughulishi na mambo mengine ya maendeleoKwahiyo wenye makalio makubwa wayapeleke wapi mkuu?
Sawa tumekisikia
Hahahahaa. Unataka niwe single mom of two mkuu?Inaonyesha una tako nasikia ww ni single mom, ucjal nataka nije nilipapase hilo tako kama utajali tuzae mtoto mi na ww
Mkuu bado upo arusha??Nilijua mtapita kwa kujipa moyo..
Uliyapeleka wapi?? Washauri wenzio nao hayo matako wakayapeleke hukohuko ulikoyaweka ya kwako.Sina
Sawa love....Mpenzi hilo lako la asili halina shida. Mdau anaongelea wale wenye ya kichina au wale wenye ya asili ambao kisa kabarikiwa kichuguu kidogo basi anakitumia hicho kama mtaji na hajishughulishi na mambo mengine ya maendeleo
No..!Mkuu bado upo arusha??
Nilimrudishia mchina.Uliyapeleka wapi?? Washauri wenzio nao hayo matako wakayapeleke hukohuko ulikoyaweka ya kwako.
Nakuoa kabsaa cha msingi uniheshimu na kunitii ntakupendaa kama maandiko yanavo semaHahahahaa. Unataka niwe single mom of two mkuu?
HayaNakuoa kabsaa cha msingi uniheshimu na kunitii ntakupendaa kama maandiko yanavo sema