wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,751
Upo wapNo..!
Upo wapNo..!
Hahahah..!Nilimrudishia mchina.
Njoo pm bas mamiiHaya
Nishamuwah mkuu mwache huyoHahahah..!
Basi tulia kidogo nitaleta posa...!
Mkuu ulisema umeacha habar za wanawake kwa sababu huna hela we tafuta hela kwanzaHahahah..!
Basi tulia kidogo nitaleta posa...!
Sawa nasubiri ila ukichelewa ntapokea ya mwenzioHahahah..!
Basi tulia kidogo nitaleta posa...!
Nitumie nauliNjoo pm bas mamii
Mke wangu huyo mzee baba..! Nilimuacha muda kidogo aliachia chura ikipita size nikaogopa kuugua ugonjwa wa moyo! Sasa ameipunguza nimerudi tena.Nishamuwah mkuu mwache huyo
Mkuu naona haupo seriously mi nakuoa kabsaaa sasa hiyo nauli nitumie wap??Nitumie nauli
Sawa nasubiri ila ukichelewa ntapokea ya mwenzio
Yaani wewe ni sawa na kusema huoni umuhimu wa nchi kuwa na jeshiHivi hayo makalio mnayafanyia nini??
Kiukweli sijawahi vutiwa na wanawake wenye makalio makubwaa
Duuuh hukufanya vzr mzee baba sasa mbona ana mimba yangu mkuuMke wangu huyo mzee baba..! Nilimuacha muda kidogo aliachia chura ikipita size nikaogopa kuugua ugonjwa wa moyo! Sasa ameipunguza nimerudi tena.
Nimeenda itoa kabisa tuishi kwa amani. Maana chura yangu ilikua inakunyima raha mpaka unanitangazia huku mie mdangaji wakati hata matumizi hutoagi ila ukija nyumbani unakuta msosiMke wangu huyo mzee baba..! Nilimuacha muda kidogo aliachia chura ikipita size nikaogopa kuugua ugonjwa wa moyo! Sasa ameipunguza nimerudi tena.
Ntumie bank New BaeMkuu naona haupo seriously mi nakuoa kabsaaa sasa hiyo nauli nitumie wap??
Jamani mama T. Sasa mi nishamzoea mke mkubwa ulikua ukiwa zamu kwake napata kanafasi ka kuchepukaMimi nina allege na chura kubwa kupitiliza nilikuacha sababu sikutaka ugonjwa wa moyo..! Mama T naye alipewa likizo ujue.
Duuh! Nisamehe tu, mke wangu wivu na hiyo chura ilikuwa inanyima umiliki wangu kwako..!Nimeenda itoa kabisa tuishi kwa amani. Maana chura yangu ilikua inakunyima raha mpaka unanitangazia huku mie mdangaji wakati hata matumizi hutoagi ila ukija nyumbani unakuta msosiNtumie bank New BaeJamani mama T. Sasa mi nishamzoea mke mkubwa ulikua ukiwa zamu kwake napata kanafasi ka kuchepuka
Vipi, ushaanza kunipenda?Maisha hayana Formula, kijana wa kiume shtuka.... usiseme sikukwambia. lol
Nipe account number, halafu huyo jamaa achana nae kwanza anaishi nyumba ya kupanga huko arusha bado anatafuta ajira namfahamu vzrNimeenda itoa kabisa tuishi kwa amani. Maana chura yangu ilikua inakunyima raha mpaka unanitangazia huku mie mdangaji wakati hata matumizi hutoagi ila ukija nyumbani unakuta msosiNtumie bank New BaeJamani mama T. Sasa mi nishamzoea mke mkubwa ulikua ukiwa zamu kwake napata kanafasi ka kuchepuka
Mr. RomanticVipi, ushaanza kunipenda?