Nyinyi miyeyusho unajua cha asili ndio maridhawa ?Nyie ndo mnasababisha
Nyinyi miyeyusho unajua cha asili ndio maridhawa ?Nyie ndo mnasababisha
Kwahiyo umebadilisha umbile kwa namna yoyote ?Nyie ndo mnasababisha
Eeeh. Mchina natumia. Hips ndo limeanza kuja kujaKwahiyo umebadilisha umbile kwa namna yoyote ?
Hutumii wewe,wazigua huwa wanajikubali sana. Ila wewe kama nakujua hivi.Eeeh. Mchina natumia. Hips ndo limeanza kuja kuja
Unanijua kutokea wapi mkuu?Hutumii wewe,wazigua huwa wanajikubali sana. Ila wewe kama nakujua hivi.
Kwa sababu ulini promise utaacha kuniita mkuu na bado umekaidi sikwambii.Unanijua kutokea wapi mkuu?
Uwii. Nimepitia. My apologyKwa sababu ulini promise utaacha kuniita mkuu na bado umekaidi sikwambii.
Usiyejua maana hupewi maana!..Hivi hayo makalio mnayafanyia nini??
Kiukweli sijawahi vutiwa na wanawake wenye makalio makubwaa
Kwahiyo wenye makalio makubwa wayapeleke wapi mkuu?
Sawa tumekisikia









naona hawakujui,Rafiki zangu watatu wameolewa siku za karibuni na wana makalio Kama yote. Sio kila mwanamke anaabudu tako kisa tu analo. MTU kazaliwa hivyo. Na nyie wanaume mmeanza kuwaona wanawake wenye matako Kama threat kwenu. Kitu kidogo tu mnakimbilia sababu Ana tako. Hukumuni wasioolewa kwa mengine Kama tabia ambayo inachange ila sio maumbilie yao waliyozaliwa nayo.



Ukipata amani ya moyo hautakuwa na mpango wa kuolewa?Ni kweli mkuu lkn kikubwa ni amani ya moyo ukishapata amani ya moyo ata izo ndoa hazina maana unataka kunambia kila mwanamke kaolewa ....mkuu ao wenyewe waliomo umo ndoani wanaishi basi tu kulea watoto kina cho mata amani ya moyo...