Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,868
- 3,624
HABARI,
Nipo kwenye daladala natoka Kibamba naelekea Mawasiliano
Pembeni yangu kuna dada anajitahidi kuongea kwa sauti ya chini na utulivu, ilhali kwa muonekano wake hayupo katika utulivu: " Samwel am too old to be dumped, kwanini unanifanyia hivi? "
Kimoyo moyo nikajisemea, jamaa ashamtema dada wa watu.
Hapo hapo nikajikuta namkumbuka yule dada wa saluni ya kike pale Sinza , ambaye alipigiwa simu na bwana wake hakupokea, alafu akawaambia wenzake
"Mpaka apige mara 5 ndio napokea, na nikipokea najua lazima aombe msamaha".
Kwenye mapenzi ukishikwa, kazi unayo.
Ila kwa mtazamo wangu, dada zangu they have a lot to loose when it comes to love than sisi wanaume.
Huwa nawaangalia tu girls in their 20's wanavyovimba mitaani na kwenye daladala.
Anaweza akakusonya kwa kosa la kumwangalia tu.
Nowadays the big the ass, the dumb they become. They think having that stuff kills off everything (Stupid),
Kila picha anayopost, analenga chini ya kiuno. Like na comments za kutosha within few minutes.
Ujue girls kuna kitu hadi leo hamjui kutofautisha, either kwa makusudi or kwa kutotilia umakini. " WANAWAKE WANAOTREND KWENYE HARUSI THEY ARE QUITE DIFFERENT FROM THOSE WHO ARE TRENDING IN SOCIAL MEDIAS"
Unajua kwanini??
Ushawahi kuona vogue au any luxury cars shambani? Hayo magari ni kwa ajili ya kujistarehesha tu, ukifika muda wa kazi, muda wa kuingia shambani linahitajika trekta.
Hicho ndio kipindi ambacho statements kama za yule dada wa kwenye daladala ya Kibamba - Mawasiliano zinapokuja : "Too old to be dumped"
Wanawake wanaotrend kwenye harusi ni wa kawaida tu, sio wa kujichubua, no big ass. Normal shape but attractive.
So dada angu rukaruka ila jua umri unasonga, usipojitambua mapema utaishia kupokea kadi za michango tu au kuombwa uwe maid kwenye harusi ya best yako.
Au la, mtaenda kujazana kwenye miskiti na kanisa ili wawaombee uku mkidanganyishiya mmerogwa, ndo mjipange
Nipo kwenye daladala natoka Kibamba naelekea Mawasiliano
Pembeni yangu kuna dada anajitahidi kuongea kwa sauti ya chini na utulivu, ilhali kwa muonekano wake hayupo katika utulivu: " Samwel am too old to be dumped, kwanini unanifanyia hivi? "
Kimoyo moyo nikajisemea, jamaa ashamtema dada wa watu.
Hapo hapo nikajikuta namkumbuka yule dada wa saluni ya kike pale Sinza , ambaye alipigiwa simu na bwana wake hakupokea, alafu akawaambia wenzake
"Mpaka apige mara 5 ndio napokea, na nikipokea najua lazima aombe msamaha".
Kwenye mapenzi ukishikwa, kazi unayo.
Ila kwa mtazamo wangu, dada zangu they have a lot to loose when it comes to love than sisi wanaume.
Huwa nawaangalia tu girls in their 20's wanavyovimba mitaani na kwenye daladala.
Anaweza akakusonya kwa kosa la kumwangalia tu.
Nowadays the big the ass, the dumb they become. They think having that stuff kills off everything (Stupid),
Kila picha anayopost, analenga chini ya kiuno. Like na comments za kutosha within few minutes.
Ujue girls kuna kitu hadi leo hamjui kutofautisha, either kwa makusudi or kwa kutotilia umakini. " WANAWAKE WANAOTREND KWENYE HARUSI THEY ARE QUITE DIFFERENT FROM THOSE WHO ARE TRENDING IN SOCIAL MEDIAS"
Unajua kwanini??
Ushawahi kuona vogue au any luxury cars shambani? Hayo magari ni kwa ajili ya kujistarehesha tu, ukifika muda wa kazi, muda wa kuingia shambani linahitajika trekta.
Hicho ndio kipindi ambacho statements kama za yule dada wa kwenye daladala ya Kibamba - Mawasiliano zinapokuja : "Too old to be dumped"
Wanawake wanaotrend kwenye harusi ni wa kawaida tu, sio wa kujichubua, no big ass. Normal shape but attractive.
So dada angu rukaruka ila jua umri unasonga, usipojitambua mapema utaishia kupokea kadi za michango tu au kuombwa uwe maid kwenye harusi ya best yako.
Au la, mtaenda kujazana kwenye miskiti na kanisa ili wawaombee uku mkidanganyishiya mmerogwa, ndo mjipange