Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Bila picha na namba yake ya simu sasa mchumba atampataje humu, kuwa serious kidogo.
 
Sababu za kukimbiwa na wachumba.
1. Sura na umbo baya
2. Sehemu za siri zenye utata (oversize, harufu Kali n.k)
3.Kuwa na tabia za kiaskari /za kiume.
4.Kurogwa
5. Pepo wachafu.
6. Makosa ya wakati wa kuzaliwa/ birth arror.
Hapa akikaa na mtaalamu kama Mimi nikimuhoji maswali 5 ya nguvu nitajua sababu hasa ni nini
Hauna utaalamu wowote wewe guruguja
 
Sababu za kukimbiwa na wachumba.
1. Sura na umbo baya
2. Sehemu za siri zenye utata (oversize, harufu Kali n.k)
3.Kuwa na tabia za kiaskari /za kiume.
4.Kurogwa
5. Pepo wachafu.
6. Makosa ya wakati wa kuzaliwa/ birth arror.
Hapa akikaa na mtaalamu kama Mimi nikimuhoji maswali 5 ya nguvu nitajua sababu hasa ni nini
Sababu ya kwanza haina mashiko maana hadi wanakuja kumtongoza wanakuwa wamemuona na wameridhia
 
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Hiyo kitu haiwezi kuwa ni GUNDU kweli?
 
Binti yangu wa kwanza ana miaka 26, Ni mpole sana na mtulivu na ni mrembo pia, sijawahi kumuona wala kusikia kuwa ana mvulana!
Ni binti yangu , sioni shida kwa yeye kutoolewa kwa umri huo, na silalamiki. Bora kuchelewa kuolewa kuliko kuolewa kwa haraka halafu akaingia mkenge, Ila ni maisha yake maamuzi yake hayanihusu japo bado namuona mdogo.
Na je ukumuuliza kama ana mchumba ama vip?
 
afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu
Hivi 25 ni umri wa kukata tamaa?
Ukute alianza kupeana kitambo kitu imechoka, imelegea, atafute usaidizi kurejesha utamu
 
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Siyo kwamba ana miaka 33 sasa?
 
Back
Top Bottom