Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Unamjaza ujinga hata akipata mme awezi kumuheshumu mwisho wa siku ndoa itavuñjika kwa kumjaza ujinga kwa maneno yako ya kipumbavu kwa kumtengeneza singo maza
Kwa wakati huu,siwezi kumfunza aishi na mume vizuri hapana,labda la kumuongezea awe na heshima kwa kila mtu,(issue za heshima ya ndoa hilo siwezi ni lake na huyo jamaa yake) mimi sitaki aishi kifukara au kwa shida,naishia hapo!,mkuu.
Seran naomba ushauri wako mummy wangu,juu ya malezi ya huyu daugher wetu,hapo malezi yawaje?
 
Vi bint vya elfu mbili ni vijizi sana usikute Kila bwana anayempata anamuibia au anamtapeli
 
Binti yangu wa kwanza ana miaka 26, Ni mpole sana na mtulivu na ni mrembo pia, sijawahi kumuona wala kusikia kuwa ana mvulana!
Ni binti yangu , sioni shida kwa yeye kutoolewa kwa umri huo, na silalamiki. Bora kuchelewa kuolewa kuliko kuolewa kwa haraka halafu akaingia mkenge, Ila ni maisha yake maamuzi yake hayanihusu japo bado namuona mdogo.
Mkuu binti yako anaweza kuwa na mabwana wengi tuu nawewe usijue chochote yaan usijue kabisaa
 
Back
Top Bottom