Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Hatuwezi kushauri afanye nini wakati background zake hatuzifahamu.

Yaweza kuwa ni 'maharage ya mbeya', sisi au wewe kaka'ke tutajuaje?

Hakuna jambo linalovuruga future ya wasichana kama kujirahisi na kudhani kuwa kugawa penzi ni ushawishi wa kupendwa pamwe ndoa!

'Mwanamke mgumu' hana umri wa kupapatikiwa, soko lake ni kubwa na lipo wazi, mwambie atulizane, waoaji hawataki mwanamke mlaini.
 
Ndo Zangu hizo ,
Uromantic peleka Kwa masista ako
 
Binti yangu wa kwanza ana miaka 26, Ni mpole sana na mtulivu na ni mrembo pia, sijawahi kumuona wala kusikia kuwa ana mvulana!
Ni binti yangu , sioni shida kwa yeye kutoolewa kwa umri huo, na silalamiki. Bora kuchelewa kuolewa kuliko kuolewa kwa haraka halafu akaingia mkenge, Ila ni maisha yake maamuzi yake hayanihusu japo bado namuona mdogo.
Labda nani,nitoe machache hapa,kuunga hoja mkono,pia ninaye bint of 22 ,full employed,ninacho pigania asimame imara sana na kazi yake,nampa full sapoti,sitaki awe stressed na issue za kuolewa,kwani huwa namwambia mmeo wa kwanza ni kazi yako,mme wapili ni huyo wa issue za upendo ""
 
Usafi Wa Mwili Vp ??

Alaf
Njoo Kwenye Adabu, Heshima, Uelewa ??
 
Kwahiyo Hilo ni tatizo ?

Aendelee na maisha ukifika wakati atapata Mwanaume bila shida kabisa .

God TIMING is perfect

And everything is blessing , usitatufe sababu za sijui amerogwa n.k
 
Ukisoma comments unajiuliza nipo Jamii Forum kweli au Facebook??
Kwa hakika hii forum inapoteza mvuto siku hadi siku.
Kwahiyo unataka kusema JF Kuna watu smart kuzidi FB kwa kulinganisha ?

FB ni mtandao mkubwa sana duniani una watumiaji almost one billion plus .

How you can underrate mtandaoni mkubwa kama huo na uulinganishe JF ambayo ni mtandao mdogo kabisa na hata haujulikani.
 
Wachumba kibao?? Kwamba kakitembeza vilivyo.

Mshauri akipata mchumba mpya asiongelee sana historia yake.
 
Tatizo mtoa mada hajibu kwa usahihi maswali anoulizwa sasa unataka usaidizi ila unaulizwa haujibu

Anyway tuanzie hapa ww upo dini gani ?
 
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Naomba nije DM mimi nimchumbie sitamkimbia
 
Shida sio mchumba ni wakati sahihi ujafika.Unaweza kulazimisha kesho mumeachana,sasa itakuwa na faida gani.
 
Nina uhakika kwenye umri umedanganya,

Kuna manzi ina watoto wawili nimeitingoza ikakubali sikujali hao watoto nikamwambia nikufungulie biashara ili upunguze vizinga badala yake utafute pesa zako mwenyew, hataki anataka nimhudumie na hivyo vizinga sasa nimekimbia kwa lazima

Mwambie uyo dada ako apunguze vizinga na ajibidiishe kutafuta hela wanaume siku hizi hatuoi magalasa
 
Back
Top Bottom