Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Ramtz Jr

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2026
Posts
268
Reaction score
526
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
 
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Binti yangu wa kwanza ana miaka 26, Ni mpole sana na mtulivu na ni mrembo pia, sijawahi kumuona wala kusikia kuwa ana mvulana!
Ni binti yangu , sioni shida kwa yeye kutoolewa kwa umri huo, na silalamiki. Bora kuchelewa kuolewa kuliko kuolewa kwa haraka halafu akaingia mkenge, Ila ni maisha yake maamuzi yake hayanihusu japo bado namuona mdogo.
 
Binti yangu wa kwanza ana miaka 26, Ni mpole sana na mtulivu na ni mrembo pia, sijawahi kumuona wala kusikia kuwa ana mvulana!
Ni binti yangu , sioni shida kwa yeye kutoolewa kwa umri huo, na silalamiki. Bora kuchelewa kuolewa kuliko kuolewa kwa haraka halafu akaingia mkenge, Ila ni maisha yake maamuzi yake hayanihusu japo bado namuona mdogo.
HUKU WANA MILA ZA HOVYO 16- WANAMUOZESHA SASA KWA 25 NI TREND
 
Pengine tatizo lipo hapo home kwenu maana mchumba mpaka anafikia hatua ya kujitokeza kwenu it means kwamba washamalizana na pengine kayadukua vyakutosha "mapango ya amboni" ya huyo sister yako.

Kaeni chini mdurusu lifestyle ya hapo kwenu pengine kuna kamzozo quiet different from how your sister appears herself.
 
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Mwambie aache gubu kujiona yeye ni mrembo sana tena mwambie aache kujifanya anajua kila kitu
 
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Mana matatizo wewe na dada yako. Wewe umeolewa tayari?
 
Back
Top Bottom