Ramtz Jr
JF-Expert Member
- Jun 18, 2026
- 268
- 526
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu
TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?
USHAURI WENU
WAKUU
TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?
USHAURI WENU
WAKUU