Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

Binti yangu wa kwanza ana miaka 26, Ni mpole sana na mtulivu na ni mrembo pia, sijawahi kumuona wala kusikia kuwa ana mvulana!
Ni binti yangu , sioni shida kwa yeye kutoolewa kwa umri huo, na silalamiki. Bora kuchelewa kuolewa kuliko kuolewa kwa haraka halafu akaingia mkenge, Ila ni maisha yake maamuzi yake hayanihusu japo bado namuona mdogo.
Akifikisha miaka 30 atamtafuta hata chizi amuoe
 
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Mwambie apost yeye tuna vingi vya kumuuliza.
 
Nina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu

TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?

USHAURI WENU
WAKUU
Usikute anaomba omba hela wanaume wanaomtongoza Ramtz Jr
 
Tatizo Hilo ni la ushorikina. Either ana jini mahaba au amewekewa vifungo ya kichawi.

Cha kufanya tafunta mganga wa kienyeji amfungue mwili na vifungo.

Hayo mengine ni kupoteza muda.
 
Sababu za kukimbiwa na wachumba.
1. Sura na umbo baya
2. Sehemu za siri zenye utata (oversize, harufu Kali n.k)
3.Kuwa na tabia za kiaskari /za kiume.
4.Kurogwa
5. Pepo wachafu.
6. Makosa ya wakati wa kuzaliwa/ birth arror.
Hapa akikaa na mtaalamu kama Mimi nikimuhoji maswali 5 ya nguvu nitajua sababu hasa ni nini
 
Back
Top Bottom