Mamake au shangazi yake anaweza kufanya hivo halafu wao wakakujulisha TU JamaniSijawahi, mara nyingi hupenda kutoka na wadogo zake, shangazi yake na ndugu wengine, ila umenipa wazo nitamuuliza.
Dawa unamuwekeaje sasa ebu fafanua mkuuAje kwangu vingunguti nimuwekee dawa.
Bado mdogo,anataka kuolewa,Eti bwana, mtoto bado mteke sana
Itakuwa kuna wanaompa pressure.Bado mdogo a
Bado mdogo,anataka kuolewa,
Hapo wazazi wetu zamani waliolewa na 15yrs but sio Kwa zama hizi.
Presha ya mashoga najua,ukiwafuatisha unaweza vamia mtumbwi wa vibwengo.Itakuwa kuna wanaompa pressure.
Fuatilia mfumo wa malezi kwenye nyumba yenu. Utapata jibu linganisha familia yenu na nyingine utapata jibuNina dada angu hapati mchumba na akipata mchumba anamkimbia sijui tatizo nini pia hata yeye mwenye kasema hajui tatizo nini kaniambia nipost ujumbe huu japo apate ushauri afanye nini mana hajui hata yeye ana tatizo gani umri 25 miaka lakin wachumba kibao wanamkimbia hata akija kuposa halud tena ushauri':wenu
TATIZO ITAKUA NINI?
AFANYEJE?
USHAURI WENU
WAKUU
Mabinti ni rafiki wapenzi wetu, tunaongea freely.Mamake au shangazi yake anaweza kufanya hivo halafu wao wakakujulisha TU Jamani
Kina dada wanajua namna dawa kwa sangoma zinaswekwa namna gani, wewe na mwanao haszu siwataki kilingeni kwanguDawa unamuwekeaje sasa ebu fafanua mkuu
Vishu naskia hiyo ID yako imepigwa banKina dada wanajua namna dawa kwa sangoma zinaswekwa namna gani, wewe na mwanao haszu siwataki kilingeni kwangu
Unamfatilia sana mwanao wa damu 😂😂Vishu naskia hiyo ID yako imepigwa ban
Kwanini mkuu
Vishu sina kazi ndgu fanya niunganishe na ma deal mjini hapa..Unamfatilia sana mwanao wa damu 😂😂
Mama Eliza kakuruhusu utoke leo?Vishu sina kazi ndgu fanya niunganishe na ma deal mjini hapa..
Maana nimepewa siku tano kama tashindwa kupambana basi nirudi kumsaidia mama bilali kuuza vitunguu maji
Ndio mkuu alafu nimepigiwa simu hapa na vodacom...Mama Eliza kakuruhusu utoke leo?
😹Lolote linaweza kuwa jibu. Nichagulie
Unamjaza ujinga hata akipata mme awezi kumuheshumu mwisho wa siku ndoa itavuñjika kwa kumjaza ujinga kwa maneno yako ya kipumbavu kwa kumtengeneza singo mazaLabda nani,nitoe machache hapa,kuunga hoja mkono,pia ninaye bint of 22 ,full employed,ninacho pigania asimame imara sana na kazi yake,nampa full sapoti,sitaki awe stressed na issue za kuolewa,kwani huwa namwambia mmeo wa kwanza ni kazi yako,mme wapili ni huyo wa issue za upendo ""
Miaka 25 kwa Binti ni miaka mingi sana,angekuwa mwanamume sawa, kumbuka mwanamke ana ukomo wa kuwa productive,na kadili anavyozidi kujua thamani yake Ina shukaAisee,25yrs mbona Bado mdogo,atulize wenge